sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Natafuta lens za saiz mbalimbali kwa dar naweza pata maeneo gani?
Hizo CL sio nzuri kama ni kwa ajili ya cosmetic purposes ila kama inatumika kama medical devices ni bora aende kwa specialist wa macho ndio amsaidieza kuweka machoni itakuwa ndio anatafuta
ushaur kaupata sana kakaHizo CL sio nzuri kama ni kwa ajili ya cosmetic purposes ila kama inatumika kama medical devices ni bora aende kwa specialist wa macho ndio amsaidie
Mazingira yetu ya Afrika vumbi jingi nk sio rafiki kwa matumizi ya Contact lenses
Mkuu za kuweka machoni nilidhani umekosea kumbe unamaanisha unachozungumza ok sawaza kuweka machoni itakuwa ndio anatafuta
anayetaka ni mtoa madaMkuu za kuweka machoni nilidhani umekosea kumbe unamaanisha unachozungumza ok sawa