Natafuta laptop tajwa hapo juu...
Specifications iwe na RAM 8GB
Harddisk 500 GB
Ni-PM kama unayo pamoja na ulipo na gharama zako, biashara tufanye tarehe 7-11-2016.
Je, unajua ni Kwanini #Kuroiler ndio kuku mwenye faida kuliko kuku mwingine yoyote .
Kuroiler ni mchanganyiko wa kuku wa aina mbili. Ni mchanganyiko wa Jogoo wa broiler ( Kutoka Sasso). Hawa...
ALOE HAND & FACE SOAP.
Ni sabuni ya maji inayotumiwa kwa kunawia, Uso , Mikono na Kuogea pia, imetengenezwa kwa Aloe Vera na imewekwa katika uwiano sawa wa ngozi za aina zote.
Husaidia na...
Arctic sea imetokana na mafuta ya samaki anayepatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya Arctic anayetoa Omega 3 (750mg) na mafuta ya mizaituni inayotoa Omega 9 (250mg).
FAIDA:
01. Husaidia...
Nyumba ipo Kimara mwisho km 3 kutoka barabara ya MOROGORO maeneo ya Mavurunza eneo limepimwa lina ukubwa wa sq mita 900 nyumba imeishia linta ,(haijapauliwa) ni selfu ina vyumba 3 vya kulala...
Tunatoa huduma vifuatazo
Website designing kuanzia TZS 150,000
Website Hosting Kuanzaia TZS 5,000 kwa mwezi
Domain name Registration TZS 25,000 Kwa mwaka
Mawasiliano: 0679732975
Habari za mda huu wana JF,
Yeyote mwenye kufanya biashara ya nguo hususan suti please anipe muongozo km naweza kupata suti yenye :-
1 Single button
2 Blue Coat
3 Black trouser
Habari msomaji!
Natafuta shamba kwa ajili ya kufugia maeneo ya kiluvya lenye ukubwa kuanzia hekari moja na kuendelea.
Tafadhali mwenye taarifa au shamba tuwasiliane hapa, pia unaweza kunitumia PM...
Je umesumbuka kwa muda mrefu kutafuta mtoto? EDMARK inakuja na bidhaa bora na asili kwa kutatua tatizo hilo. Karibu tuwasiliane kwa maelezo zaidi ya kina 0769643939
Toyota Brevis namba D , ipo sokoni. Karibu ununue Toyota Brevis bado mpyaa..
kama inainavyoonekana kwenye picha. Bei ni 9million.
Gari ipo Dar es salaam.
Mawasiliano, 0755155782,
Ina vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko. Haijakamilika kama ambavyo inavyoonekana katika picha. Imejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa urefe 30 na upana 22. Maandalizi yamekwisha kamilika...
$ 120,000
LOCATION- MINDU TREET-UPANGA
Bedrooms: 3
Bathrooms: 2
Amenities: Air Conditioning, Furnished, Generator Provided, Gym, Security Guards
Buy it for yourself and your Family /...
wandugu habari
nauza kiwanja changu chenye ukubwa wa hatua 20 kwa 20 kilichopo madale,dar es salaam kwa bei ya tsh 4,500,000 tu.
kipo madale njia panda ya nguzo mwendo wa dakika 3 ukitembea kutoka...
ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP ni sabuni kutoka kampun kabambe iliyothibitishwa kimataifa je una matatizo ya ngozi,mba kwenye nywele,fangasi,ukinyoa unatoka vipele sabuni hii ni kiboko kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.