Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mpaign/giveaway-summer-2016?refer=580728e6295082106f228f73
0 Reactions
5 Replies
922 Views
Nauza Simu hizi.. Samsung S5 Bei 360,000 LG G3 Bei 360,000 Used with very good condition.. No scratches.. Serious buyer's 0625690081
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Natafuta laptop tajwa hapo juu... Specifications iwe na RAM 8GB Harddisk 500 GB Ni-PM kama unayo pamoja na ulipo na gharama zako, biashara tufanye tarehe 7-11-2016.
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Tibu Maradhi ya Computer yako kwa BEI NAFUU zaidi Tupo Sinza Makaburini - Mtaa wa Sokoni Simu: +255 755 257 508 / +255 713 741 758 Email...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
COMPUTER REPAIR AND MAINTENANCE-MOSHI, ARUSHA. SERVICES PROVIDED - LAPTOP REPAIR- TUNA REPAIR LAPTOPS ZENYE HARDWARE PROBLEMS ie power, display problems etc. -MOTHERBOARD REPAIR-Tunafanya...
0 Reactions
1 Replies
809 Views
Je, unajua ni Kwanini #Kuroiler ndio kuku mwenye faida kuliko kuku mwingine yoyote . Kuroiler ni mchanganyiko wa kuku wa aina mbili. Ni mchanganyiko wa Jogoo wa broiler ( Kutoka Sasso). Hawa...
3 Reactions
11 Replies
14K Views
ALOE HAND & FACE SOAP. Ni sabuni ya maji inayotumiwa kwa kunawia, Uso , Mikono na Kuogea pia, imetengenezwa kwa Aloe Vera na imewekwa katika uwiano sawa wa ngozi za aina zote. Husaidia na...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Arctic sea imetokana na mafuta ya samaki anayepatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya Arctic anayetoa Omega 3 (750mg) na mafuta ya mizaituni inayotoa Omega 9 (250mg). FAIDA: 01. Husaidia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarin Wakuu nahijtaj TV Inch 26 ya kununua kwa laki mbili cash,muuzaji awe dar as salaam alienayi ni pm tufanye biashara mapema. Nb
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Nyumba ipo Kimara mwisho km 3 kutoka barabara ya MOROGORO maeneo ya Mavurunza eneo limepimwa lina ukubwa wa sq mita 900 nyumba imeishia linta ,(haijapauliwa) ni selfu ina vyumba 3 vya kulala...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tunatoa huduma vifuatazo Website designing kuanzia TZS 150,000 Website Hosting Kuanzaia TZS 5,000 kwa mwezi Domain name Registration TZS 25,000 Kwa mwaka Mawasiliano: 0679732975
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mda huu wana JF, Yeyote mwenye kufanya biashara ya nguo hususan suti please anipe muongozo km naweza kupata suti yenye :- 1 Single button 2 Blue Coat 3 Black trouser
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Habari msomaji! Natafuta shamba kwa ajili ya kufugia maeneo ya kiluvya lenye ukubwa kuanzia hekari moja na kuendelea. Tafadhali mwenye taarifa au shamba tuwasiliane hapa, pia unaweza kunitumia PM...
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Nahitaji modern ya Halotel kama unayo unauza tafadhali wasiliana nami
0 Reactions
7 Replies
802 Views
Je umesumbuka kwa muda mrefu kutafuta mtoto? EDMARK inakuja na bidhaa bora na asili kwa kutatua tatizo hilo. Karibu tuwasiliane kwa maelezo zaidi ya kina 0769643939
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Toyota Brevis namba D , ipo sokoni. Karibu ununue Toyota Brevis bado mpyaa.. kama inainavyoonekana kwenye picha. Bei ni 9million. Gari ipo Dar es salaam. Mawasiliano, 0755155782,
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Ina vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko. Haijakamilika kama ambavyo inavyoonekana katika picha. Imejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa urefe 30 na upana 22. Maandalizi yamekwisha kamilika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
$ 120,000 LOCATION- MINDU TREET-UPANGA Bedrooms: 3 Bathrooms: 2 Amenities: Air Conditioning, Furnished, Generator Provided, Gym, Security Guards Buy it for yourself and your Family /...
0 Reactions
2 Replies
747 Views
wandugu habari nauza kiwanja changu chenye ukubwa wa hatua 20 kwa 20 kilichopo madale,dar es salaam kwa bei ya tsh 4,500,000 tu. kipo madale njia panda ya nguzo mwendo wa dakika 3 ukitembea kutoka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP ni sabuni kutoka kampun kabambe iliyothibitishwa kimataifa je una matatizo ya ngozi,mba kwenye nywele,fangasi,ukinyoa unatoka vipele sabuni hii ni kiboko kabisa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom