Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunafundisha masomo yafuatayo-: 1.Economics (Cambridge & Nectar syllabus) 2.Accountancy 3.Business studies(Commerce) 4.Geography (O'level&A'level) -Tupo DSM, call;+255763479113.
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Sabakheri wadau natafuta soko la sungura weupe na weusi ninao 527. wapo morogoro mjini. bei maelewano kama unalifahamu soko nijuze hapa au kwa simu 0674128230
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, natafuta rear spoiler ya Toyota Altezza ile iliyonyanyuka kama inavyoonekana kwenye attached photo. Mwenye nayo tuwasiliane PM tafadhali
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi, Naomba kujua wapi nitapata vifungashio vya plastiki vya kuwekea ubuyu, visheti n.k kwa hapa Arusha. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za jioni wana JF, Naomba msaada wa watu wa Arusha au uishie nje ya Arusha natafuta mawasiliano ya watu wa Redio za Arusha mfano Sun rise na Triple A Nina shida nao sana ninaomba msaada wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo? Nahitaji kununua hard disc mpya au iliyo kwenye hali nzuri iwe na uwezo si chini ya GB300. Mwenye nayo tuwasiliane,nipo Arusha.Mawasiliano 0752489529
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Wakuu habari nipo dsm naitaji freezer lenye display ya kioo kama hii hapo pichani kama unayo tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wafanyabiashara wenye uhitaji wa makontena kubebea mizigo yao mnakaribishwa kutuona ofisin kwetu New national building Saza-Road chang'ombe Dar es salaam.Aina zote tunayo kuanzia...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
ARGI + ni kinywaji ambacho ndani yake ina kimelea cha L-arginine ambacho kina amino acid ya kutosha ambayo ikingia ndani ya mwili huwa nitric oxide ambayo husaidia mishipa ya damu kufunguka na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikalo dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipo ni kwanzia miezi sita mpaka...
0 Reactions
8 Replies
894 Views
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious...
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Tunazo sealing machine ambayo ipo dukani tayari zinafunga glass za plastiki kwa wale wanaopaki maziwa au juice inawafaa sana. ZOTE NI MPYA. Nauza 213,000 tu. piga 0718520552
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Mnafahamu kwamba hakuna kinachofurahisha kama kuwa hewani muda wote ukitumia Vodacom. Sasa unaweza ku-share picha, ku-like, ku-comment, kucha mewanzo mwisho bure kabisa bila malipo...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Kituo cha HESHIMA HERBS kinapenda kuwatangazia kuwa tunatibu kansa ( ya kizazi, matiti, nk) Na pia tuna tibu magonjwa yafuatayo -kansa zote -kisukari(diabetes mellitus) -vidonda vya tumbo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Linapatikana mkoani njombe Kutoka Barabara ya lami ni km 13 Lipo kijiji cha yakobi Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na whatsap 0742188846 Badilisha maisha yako...
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Utapata mashamba ya Kupanda miti ya mbao kwa bei ya tsh laki moja tu Utapata mashamba ambayo yameshapandwa miti ikiwa na miaka tofauti tofauti Utapata viwanja ktk mji wa njombe Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau Nahtaji freezer mpya/used kati ya lita 200 - 300. Niko dsm. Mwenye nayo ani pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana bodi salaam nauza kiwanja changu hatua 30*20 kipo makulu,dodoma mjini kama unaenda udom. bei ni tsh.ml 3,500,000 tu napatikana kwa namba 0786 294545 karibuni
0 Reactions
1 Replies
740 Views
Nauza account ya Google Adsense kwa bei nafuu,ni non hosted account,current balance ni USD 20 na huku kwingine ina zaidi ya USD 10. Address bado haijawa verified lakin barua ya Google itafika kati...
0 Reactions
1 Replies
813 Views
.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom