Sabakheri wadau natafuta soko la sungura weupe na weusi ninao 527.
wapo morogoro mjini.
bei maelewano kama unalifahamu soko nijuze hapa au kwa simu 0674128230
Habari za jioni wana JF,
Naomba msaada wa watu wa Arusha au uishie nje ya Arusha natafuta mawasiliano ya watu wa Redio za Arusha mfano Sun rise na Triple A Nina shida nao sana ninaomba msaada wa...
Habari za leo?
Nahitaji kununua hard disc mpya au iliyo kwenye hali nzuri iwe na uwezo si chini ya GB300.
Mwenye nayo tuwasiliane,nipo Arusha.Mawasiliano 0752489529
Kwa wale wafanyabiashara wenye uhitaji wa makontena kubebea mizigo yao mnakaribishwa kutuona ofisin kwetu New national building Saza-Road chang'ombe Dar es salaam.Aina zote tunayo kuanzia...
ARGI + ni kinywaji ambacho ndani yake ina kimelea cha L-arginine ambacho kina amino acid ya kutosha ambayo ikingia ndani ya mwili huwa nitric oxide ambayo husaidia mishipa ya damu kufunguka na...
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikalo dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipo ni kwanzia miezi sita mpaka...
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious...
Tunazo sealing machine ambayo ipo dukani tayari zinafunga glass za plastiki kwa wale wanaopaki maziwa au juice inawafaa sana. ZOTE NI MPYA. Nauza 213,000 tu. piga 0718520552
Habari Wakuu,
Mnafahamu kwamba hakuna kinachofurahisha kama kuwa hewani muda wote ukitumia Vodacom. Sasa unaweza ku-share picha, ku-like, ku-comment, kucha mewanzo mwisho bure kabisa bila malipo...
Kituo cha HESHIMA HERBS kinapenda kuwatangazia kuwa tunatibu kansa ( ya kizazi, matiti, nk)
Na pia tuna tibu magonjwa yafuatayo
-kansa zote
-kisukari(diabetes mellitus)
-vidonda vya tumbo...
Linapatikana mkoani njombe
Kutoka Barabara ya lami ni km 13
Lipo kijiji cha yakobi
Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na whatsap 0742188846
Badilisha maisha yako...
Utapata mashamba ya Kupanda miti ya mbao kwa bei ya tsh laki moja tu
Utapata mashamba ambayo yameshapandwa miti ikiwa na miaka tofauti tofauti
Utapata viwanja ktk mji wa njombe
Kwa mawasiliano...
wana bodi salaam
nauza kiwanja changu hatua 30*20
kipo makulu,dodoma mjini kama unaenda udom.
bei ni tsh.ml 3,500,000 tu
napatikana kwa namba 0786 294545
karibuni
Nauza account ya Google Adsense kwa bei nafuu,ni non hosted account,current balance ni USD 20 na huku kwingine ina zaidi ya USD 10. Address bado haijawa verified lakin barua ya Google itafika kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.