View attachment 411253View attachment 411254Viko 1.5 km from dege beach house project.
Viko 200m toka barabara inayoelekea Avic town.
Vina mkataba wa mauziano na hati ya serikali ya mtaa.
Ukubwa 30*30 m kila kimoja.
Bei 6.5 kila kimoja.
Viko flat.
Wasiliana na muuzaji kwa 0688151545
Sasa mkuu si ungeanzisha thread yako kuwa unauza kibamba[emoji23] yani ni sawa nipange frem wewe uje uweke bidhaa zako sawa na zangu mbele ya frem yanguMkuu unamaanisha 6.5m?
mimi nauza Kibamba 20X20m kwa 2m.
utapata hati ya serikali ya mtaa. Huduma za jamii km barabara,maji na shule zipo karibu kabisa.Barabara inapita eneo la tukio.
Karibuni.
We mchawi, uchawi si kwenda uchi mlangoni. Matendo kama haya ni uchawi!Mkuu unamaanisha 6.5m?
mimi nauza Kibamba 20X20m kwa 2m.
utapata hati ya serikali ya mtaa. Huduma za jamii km barabara,maji na shule zipo karibu kabisa.Barabara inapita eneo la tukio.
Karibuni.
Mkuu unamaanisha 6.5m?
mimi nauza Kibamba 20X20m kwa 2m.
utapata hati ya serikali ya mtaa. Huduma za jamii km barabara,maji na shule zipo karibu kabisa.Barabara inapita eneo la tukio.
Karibuni.
sehemu gani kwa mathias kubwa au mbwate? nahitaji naomba unipe eneo exactly karibu na kwa nani maarufu?Kwa Matiasi 25x25 kwa 1.9M.
Mkuu watu hawanunui ndo maana inashuka sijui magu effectNaona bei inazidi kushuka, ngoja nivute subira.
Viwanja viwili vinauzwa kigamboni
Hivi mwembe mdogo ndiyo mwembe mtengu?Mkuu watu hawanunui ndo maana inashuka sijui magu effect
daaah samahani sana mkuu kwa hiloSasa mkuu si ungeanzisha thread yako kuwa unauza kibamba[emoji23] yani ni sawa nipange frem wewe uje uweke bidhaa zako sawa na zangu mbele ya frem yangu
Mwenge mdogo ni km 5 before Avic town
Naomba namba yako ya simu.Mkuu unamaanisha 6.5m?
mimi nauza Kibamba 20X20m kwa 2m.
utapata hati ya serikali ya mtaa. Huduma za jamii km barabara,maji na shule zipo karibu kabisa.Barabara inapita eneo la tukio.
Karibuni.
Ndio maana wakina Bashe wanalialia, Huko kwenye real Estate ndio wapigaji walikuwa wanaficha mapesa yao.Hivi Viwanja mpaka ikifika January 2017 tutavinunua kwa Tshs 3mil each