Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Brands kati ya LG, Samsung au Star-X, mpya au used. Offer yangu ni sh. 600,000/= Hakikisha sio copy ya brand nilizo zitaja. Njoo PM naamini tutafikia makubaliano. Vizuri ikiwa na HDMI port 2 na...
1 Reactions
3 Replies
779 Views
Habari natoa fursa kwa vijana wote tunauza mayai 5500 ofice zetu ziko tabata atakaeuza tray 50 kwa siku atalipwa efu 10 kwa siku atakaeuza tray. 100 atalipwa efu 20 .kwa maelezo zaidi tupigie...
2 Reactions
4 Replies
787 Views
nauza laptop yangu ya dell d620 (roho ya paka)iliyo katika hali nzuri na safi. Specification 80gb HDD(utaongeza mwenyewe) 3gb ram Duo core@1.66ghz Battery ipo poa sana Problems Mstari mwembaba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
NIMEONA TANGAZO KWENYE GROUP LA WHATSAPP JUU YA UZINDUZI WA BIDHAA ZA KILIMO MAHALI/;- chuo kikuu dar es salaam mkabala na UDASA Club. SIKU:- JUMAMOSI,DESEMBA 10,2016. Ila nimeshindwa kujua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KITABU cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kinapatikana maeneo yafuatayo kwa Dar kwa mauzo ya jumla na rejareja. 1. Duka la House of Wisdom lilipo Posta Mtaa wa Samora Jengo la NHC ghorofa ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wasiliana nasi 0754 567120 kwa mahitaji yako ya mbolea poa ya kinyesi cha kuku jijini Dar es salaam.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jengo la ghorofa mbili linapangishwa. Jengo ni kubwa na la kisasa, lipo Tegeta Nyuki hatua chache kutoka kwenye kituo cha Daladala Tegeta Nyuki. Jengo hili lina huduma ya maji safi ya dawasco, pia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Eneo lenye square metre 900 linauzwa kigamboni mwembe mdogo. Eneo halijapimwa ila lina docunents za serikali ya mtaa. Bei 18 mils.mhusika namba yake ni 0688151545 Kwa anayehitaji ampgie huyo...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
HABARI WAKUU. Ulimwengu wa biashara hauhitaji wataalamu wa kuinstall na kuitumia system.Bali wanahitaji wataalamu wanaoweza kukaa chini na wateja na kuwasikiliza mahitaji yao, kuchambua namna...
1 Reactions
0 Replies
655 Views
Infinity works, wataalamu wa kutengeneza bidhaa za aluminium. Tunapatikana tegeta njia ya wazo. 0620775877/0758358580
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza nyumba ipo mbagara. Nyumba ina sifa zifuatazo. -ina umeme -ina maji ( maji yanapanikana nyumbani kabisa ya bomba) -kwa ndani ina gypsum -Nyumba ina tiles(malumalu) kwe chini. -NYUMBA INA...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Nina million 1 naomba mwenye pikipiki aina ya boxar ambayo ipo kwenye hali nzur aniuzie,kama unayo nicheki 0753 90 31 90, A-iwe kwenye hali poa maana kabla ya ununuzi ukaguzi muhimu. B- iwe ni...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Nauza nyumba ipo mbagara sabasaba mwanamtoti karibu na shule ya sekondari ya st antony. Nyumba ina sifa zifuatazo. -ina umeme -ina maji ( maji yanapanikana nyumbani kabisa ya bomba) -kwa ndani...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe unauza vitu USED hivi hapa tuwasiliane !!!Kwa bei nzuri Flat screen Kitanda cha kulalia TV stand Godoro confy Meza ndogo ya kioo Sofa ndogo Mahali popote kama unaflat lakini n...
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Wakuu..mwenye psp iliyo katika hali nzuri,aniuzie..namba yangu 0658327429...dsm
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Habari waungwana.. Kama heading inavyojieleza. Ninahitaji mtu wa kuweza kunipatia mayai ya kuku kuanzia tray 30 ambazo ni mahitaji ya siku moja na kuendelea. Nipo tiyari kuchukua kiasi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa yeyote anaehitaji smartphone.. Kuna samsung galaxy note 3 inauzwa, iko katika hali nzuri sana, Bei ni 300,000.......Bei inaweza ikapungua.... Kwa yeyote anaehitaji, whatsapp 0714132075..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habar wapendwa nauza car wash machine inayotumia umeme. Mashine ni mpya sana dhumun la kuuza ni kwamba imekosa msimamiz hivyo nimeamua kuuza bei inaanza laki 4..!! Nichek kupitia...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom