viwanja vinauzwa Moshi Kilimanjaro viwanja vingi havijapimwa( vilivyopimwa ni vichache) na vinapatikana maeneo yafuatayo
barabara ya Kilema Himo Njia panda Uchira Kawawa na sehemu yeyote...
REVELATION SECURITY SERVICES COMPANY, tunauza vifaa vyote vinavyohusika na ulinzi, Tuna wataalafu walobobea katika kufunga vifaa vya ulinzi na pia tuna walinzi.karibuni kwa vifaa vya ulinzi na...
Jaman nafanya biashara ya ku-deliver parcel au document anayehitaji service anicall 0653-620415. natoa bima ikitokea document ikapotelea ndani ya mikono yetu unataja value yake unarudishiwa.
Habari wakuu, kuna gari inauzwa imeingia nchini wiki iliyopita aina ya SUZUKI CARRY 4WD, MANUAL TRANSMISSION, 4 speed, iko Dar, bei maelewano kuanzia Mil.7.5 tu iliyoingiziwa. mmiliki amehamia...
Vyumba/Hostel vinapatikana mita 300 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa (Tumaini University). Kila Chumba kinajitegemea (self contained), kuna maji ya pre paid meter na umeme wa LUKU.
Mawasiliano, 0787...
Kwa yeyote anaehitaji tafadhali ani-pm, ni product inayofanya kazi effectively na kukuacha na smooth and fair back. Inaondoa hilo tatizo bila kujirudia tena unlike to other products
Mwalimu anahitajika,
Mwenye uwezo wa kufundisha masomo agalau 5 muhimu ya mwanafuzi wa darasa la tano,
ni baada ya mwanfuzi kutoka shuleni, saa za jioni, nyumbani maeneo...
Wana jamii forum wenzangu naomba kujuzwa jinsi ya kupata king'amzi ikiwezekana na dish lake kupata na kuangalia channel za mpira kwa bei nafuu. DSTV wamekua hawashikiki na sisi wapenzi wa soka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.