Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habari, Natafuta simu used aina ya Samsung kwa tsh 50000 tu, aliye nayo ani Pm tujue jinsi ya kufanya biashara
0 Reactions
2 Replies
750 Views
Wana body kama heading inavyojieleza hapo juu budget yangu ya m7 kwa gari aina ya toyota Alteza,carina na rv4 no D au C kwa mtu mwenye nayo ani pm
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Simu bado mpya kabisaaaa Ina miezi mitatu tu tangu itoke dukani Nahitaji 200,000/= TU Nipo dar es salaaam Mawasiliano,namba 0656899091
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Simu ni mpya nimetumia kwa wiki mbili tu kimfacho chake. Ina GB 32 Bei sh 350k
0 Reactions
1 Replies
555 Views
Natafuta Tablet Ya bei Poa.. Iwe good conditions... Tablet husika iwe na Os ya Windows... aliekua nayo, PM au,npe contacts nkupgie...
0 Reactions
3 Replies
588 Views
viwanja vinauzwa Moshi Kilimanjaro viwanja vingi havijapimwa( vilivyopimwa ni vichache) na vinapatikana maeneo yafuatayo barabara ya Kilema Himo Njia panda Uchira Kawawa na sehemu yeyote...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
REVELATION SECURITY SERVICES COMPANY, tunauza vifaa vyote vinavyohusika na ulinzi, Tuna wataalafu walobobea katika kufunga vifaa vya ulinzi na pia tuna walinzi.karibuni kwa vifaa vya ulinzi na...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Kama wewe unahitajia ng'ombe au rafiki yako naomba nitafute kwa namba hii 0788780887/0654687529. [emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243] [emoji243]...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
simu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Brand new lg led TV 43inch
0 Reactions
2 Replies
731 Views
Jaman nafanya biashara ya ku-deliver parcel au document anayehitaji service anicall 0653-620415. natoa bima ikitokea document ikapotelea ndani ya mikono yetu unataja value yake unarudishiwa.
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Habari wakuu, kuna gari inauzwa imeingia nchini wiki iliyopita aina ya SUZUKI CARRY 4WD, MANUAL TRANSMISSION, 4 speed, iko Dar, bei maelewano kuanzia Mil.7.5 tu iliyoingiziwa. mmiliki amehamia...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari,wapi naweza kupata mayai ya kuku wa mayai na nyama kwa ajili ya kutotolesha?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vyumba/Hostel vinapatikana mita 300 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa (Tumaini University). Kila Chumba kinajitegemea (self contained), kuna maji ya pre paid meter na umeme wa LUKU. Mawasiliano, 0787...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Brandnew IPhone 5s for sale Original and Full Boxed 16GB Internal Storage Gold in colour Price 580,000 Call 0784780955 or whatsap 0718942311
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Kwa yeyote anaehitaji tafadhali ani-pm, ni product inayofanya kazi effectively na kukuacha na smooth and fair back. Inaondoa hilo tatizo bila kujirudia tena unlike to other products
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mwalimu anahitajika, Mwenye uwezo wa kufundisha masomo agalau 5 muhimu ya mwanafuzi wa darasa la tano, ni baada ya mwanfuzi kutoka shuleni, saa za jioni, nyumbani maeneo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wana jamii forum wenzangu naomba kujuzwa jinsi ya kupata king'amzi ikiwezekana na dish lake kupata na kuangalia channel za mpira kwa bei nafuu. DSTV wamekua hawashikiki na sisi wapenzi wa soka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyumba kubwa ina vyumba vitatu kimoja master inapangishwa ina maji na umeme nyumba mpya bei 700,000 kwa mwezi maongezi yapo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vyumba viwili vinapangishwa kitunda machimbo bei elfu 80, machimbo mwisho
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom