Nimeandikiwa na daktari dawa fulani ya kuchua mgongoni. Napata shida jinsi ya kupaka dawa hiyo hivyo nahitaji mtu wa part time kwa ajili ya kunichua TU asubuhi na jioni
Posho: 10,000 kwa siku...
Track vehicle from your smartphone and web
Check current location, speed and if your vehicle is
parked or moving
Identify vehicle misuse by your driver
Check unintended trips stoppages and...
heshima kwenu brothers and sisters..
Nyumba ya uani inapangishwa ubungo external nyuma ya ukuta wa export processing zone..
1.Ina umeme na maji ( ya dawasco)
2. Ina chumba na sebule .. Plus choo...
habari wadau..
chumba na sebule kinapangishwa ubungo external 120,000 kwa mwezi.. ( kodi miez 6)
kipo ndani ya fence, kuna umeme na maji..
choo cha nje...( sio master bedroom)
hatakiwi...
Haya sasa dawa ya kuondoa tumbo na michirizi kwa wadada na wakaka ipo mjini sasa. Ni dawa ya asili isiyo na madhara kabisa. Utapunguza tumbo ndani ya wiki tatu...tumbo lisipoisha narudisha...
natanguliza heshima zangu za dhati kwenu wote, Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa Miaka 24, mwenye Elimu ya mifugo, Diploma in Tropical animal health& Production. kutoka Sokoine University...
Haidaiwi haina mgogoro wala si ya Ulisi
Ukubwa wa kiwanja sqm 20×40
Leseni ya makazi
Vyumba vitatu
1 master
Jiko
Choo
Sebule
Parking space capacity gar 1
Kama kichwa kinavyosomeka natafuta Blogger au Muandishi mzuri wa Artcles kwenye Mtandao wa internet Ili Niweze kufanya nae kazi kwa malipo tutakayo kubaliana. Nitext 0763017461. TEXT ONLY!!
A storeyed house of two master bedrooms, garage, garden, kitchen, dinning , public toilet and fenced, has gate, located at mikocheni A near Engen petrol station quiet location.
Features
Full...
Habari wakuu.
Nimepata uwakala wa Accounting software moja toka South Africa ambayo ni web based, yaani online hahiitaji server,watumiaji zaidi ya mmoja kila mmoja akiwa na password yake,kucreate...
Husika na kichwa cha habari nauza tecno c8 nimenunua mwezi wa 6 IPO katika hali nzuri nauza ili nitatue shida tu.
Nipo Dodoma mjini ni pm
Bei 220,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.