Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinahitajika chenye vigezo vifuatavyo 1. Kiwe cha kwanza kutoka baharini 2. Kiwe maeneo ya mbezi beach rainbow hapo (nafikiri umeelewa) 3.kiwe na ukubwa usiopungua 2000sqm 4. Bei...
0 Reactions
6 Replies
862 Views
Pata heater zq kukuzia vifaranga kwa bei nafuu, heater hiz huweza kusambaza joto eneo kubwa na kusaidia vifaranga kupata joto nyakat za ucku. Wale wafugaji wakubwa na wadogo heater hz huwasaidia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Offer offer offer price down Contact: 0659633720 Brand new Iphone Genuine Full box with sealed accessories Free Offer Glass protector Price 2,030,000/= #0659633720
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Natanguliza heshma kwenu Kwa mtu yeyote anayeitaji website hosting kwa gharama za chini, web design and implemantation and system, mimi nipo kwa ajiri yako usisite kunitafuta...
0 Reactions
3 Replies
786 Views
Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 4.5M. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora. Kiwanja #29 &...
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Shamba lipo Mkuranga kupita kimanzichana kijiji cha Mkiu km 6 kutoka barabara kuu iendayo Mtwara, ni heka 35 nauza zote kwa pamoja kila heka 550,000. Hakuna dalali mimi ndiyo mmiliki, kwa...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Habri gani wakuu? Tunapenda kuwajulisha kuwa tunafanya shughuli zilizoainishwa kwenye kichwa cha habari,yaani ujenzi wa mabwawa ya samaki,nyumba za kuishi na mabanda ya kisasa ya kuku,nguruwe na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
viwanja vya makazi vinauzwa.. vimeshapimwa utapatiwa na hati miliki... ukubwa.. sqm 450 bei..milioni 4,kwa walimu unaweza pata kwa mkopo mahali....karibu na bagamoyo.. kwa maelezo zaidi..
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana Jukwaa! Nauza Pikipiki yangu Boxer BM 150, Ipo katika hali nzuri, nimekuwa nikiitumia kwa matumizi binafsi. Ipo Morogoro Mjini. Now naiuza Coz nahitaji Kununua Usafiri Mwingine. Bei...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
I am looking for a trusted person coming to Tanzania from South Africa before the end of this month. I want to buy Corks and Capsules from RX South Africa but the cost of delivery through formal...
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Nauza mashine ya kutotoleshea mayai ya kuku, kwale na bata mzinga; uhakika wa kutotolesha ni asilimia 98 Inauwezo wa kuchukua mayai 1056 kwa mkupuo. Ni automatic inafanya kila kitu yenyewe. Ni...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Techno c5 inahitajika please mwenye nayo ani pm niko dsm
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Habari Wapendwa, Napenda kuwatangazia ya kwamba nauza kifaa kidogo cha kutengenezea tambi za dengu au chauro kwa jina lingine. Nauza 22,000/-Tshs tu. Nakuletea popote ulipo DAR ES SALAAM, kwa wale...
2 Reactions
16 Replies
15K Views
Ina vyumba vitatu ndani na sehemu ya wageni. Chumba cha master kina choo ndani. Ina banda la uani pia lina vyoo viwili, uani pia jiko na store. Nyumba imezingusha uzio bei ni mil 80. Mwisho
0 Reactions
2 Replies
660 Views
Hello Jamani natafuta container la kukodi, au cold room maeneo ya kati ya IRINGA na TUNDUMA! Yeyote mwenye habari, tuwasiliane kupitia, whatsapp au sms number +255 754 339922, au ani-pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa maeneo ya chalinze ambayo ukubwa wake ni heka nane(8) na lipo barabarani karibu na rami kila plot moja ambayo ni sawa na heka mbili na nusu ni milion miatano mwisho ni mil mia nn...
0 Reactions
6 Replies
957 Views
Kutana na wachoraji wa ramani kutoka Mbeya university of science and technology (MUST).....pia tuna design mbalimbali za majengo na kukadilia gharama za awali za ujenzi yaani (boq)
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kutoa pongezi kwa kiwanda cha mirija ya kunywea juice cha Tanpicks cha Arusha, jitahidi kuongeza uzalishaji na hatimaye kuteka soko lote la africa mashariki
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom