habari,naombeni mnisaidie ni friji gani ambayo ni nzuri kwa matumizi ya nyumbani yenye gharama hadi ya sh 700000 humo,radio nzuri yenye mdundo mzuri pia na tv flat inch 32
Wadau wa JF naomba msaada kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata nyumba nzuri ya kupanga Mbeya, iwe selfcontained,isiwe kubwa sana ya wastani.msaada tafadhari.
Habarini wanaJF kwa yeyote anayehitaji nyumba kuna nyumba ipo maeneo ya kimara korogwe dk 5 toka kituo cha mwendokasi aliyepo anatoka mwezi wa 1 tar 10 haina udalali ni chumba,sebule,jiko choo...
Now everyone can be a Wholesaler/agent with Low investment and least efforts and knowledge ..
We bring you a premium brand, with lowest price, 'Kwality juu na bei chini' - BLU® mobile [USA]...
Ninauza kiwanja kilichopimwa na Halmashauri ya mji wa korogwe Tanga. Maelezo kuhusu kiwanja ni kama ifuatavyo:
Sehemu/ Mahali: Katika halmashauri ya mji wa korogwe, eneo la chifu Kimweri...
Habari wapendwa,
MLD GROUP,
Tunauza mchele kutoka mbeya kwa bei ya jumla. pia tunachukuwa tender za kusupply katika taasisi mbalimbali.
i.e ; mashuleni, vyuoni na sehemu yoyote inayohitaji bidhaa...
Mahali na Ukumbi: Itatangazwa baadae kwa watakaojiandikisha
Tar: 25/12/2016
Kiingilio: watajulishwa watakaojiandikisha
Fighters: Fransis Cheka/ Kaseba na bondia mgeni
Aina ya pambano: bare...
Habari wadau wa JF,
Kuna mtu anauza LapTop aina ya HP.Ina Hard Disc 116 gb, CPU 2.40 GHZ, Processor: Intel(R) Core(TM);Duo CPU 2.40 GHZ.
Note:Usijali sana kuhusu picha ni ubovu wa kamera...
Simu ni. SamsungGT19082
version 4.2.2
storage 8.00GB
haina tatizo lolote
Lakin nyumu mfuniko hamna ulipote ila simu iko vizuri. Kwa contact nichek 0673265113
Bei laki 280 punguzo mpaka 250...
Habari zenu wanajamvi
Kwa wale wanaopenda kupanga mwenge karibu kabisa na bamaga na Afrikasana
Chumba chenye choo ndani (master room) sebule na jiko, ipo ndani ya geti parking ya gari ipo maji...
Wakuu habarini....najua dukani au kwa wakala king'amuzi cha azam ni gharama naambiwa ni laki moja na 30 sasa mimi Nahitaji kwa mtu King'amuzi na Dish lake Full au mwenye King'amuzi kingine kizuri...
Natumaini mu wazima Wakuu. Natafuta mashine ya kufyatulia matofali ya 'interlocking'. Anayefahamu yanapo patikana naomba anifahamishe. Natanguliza shukrani na nawatakia siku njema.
Una Website/Blog Yako na unahitaji iwe designed na kuwa na muonekano mzuri?
Una website/blog na unahitaji application?
Je unahitaji website kwa ajili ya biashara yako?
KARIBU Tunatengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.