Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Unganisha hadi vifaa 10 kwa pamoja. Smart TV/Smartphones/PC/IP-CCTV Cameras/tablets etc. Bei: 60,000/-
0 Reactions
4 Replies
988 Views
Ukiwa na swali nicheki kwa namba 0712823601,nimeattach ramani ya kiwanja kilivokaa,huduma ya umeme na maji inapatikana.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Solar submersible pump inauzwa, Voltage 24VDC' amps4.0max florate 6L/1.6GMP maximum submersible 100ft(30M) bei 300,000Tsh
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini za leo wanajamii forums, nina kiwanda cha kukamua mafuta ya Alizeti ni kipya na kipo kwenye jengo jipya kabisa katika kijiji cha shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida ambapo ni maarufu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana Jamii kama kichwa cha habari kinavyojieleza nauza Laini za uwakala za Tigo pesa Laini ambayo haijawahi kufanya Transaction yeyete kwahiyo usiwe na hofu kwa bei nafuu bei ni Maelewano...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari zenu jamn me naitaji TV used ya kununua Niko dar es salaam iwe ya chogo sio flat screen naombeni msaada wenu kufanikisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu jamn me naitaji TV used ya kununua Niko dar es salaam iwe ya chogo sio flat screen naombeni msaada wenu kufanikisha
1 Reactions
3 Replies
786 Views
Nichek kwenye no 0759865185 /0769085765 kwa gari used popote ulipo. TUNAPATIKANA KAHAMA -SHINYANGA
2 Reactions
102 Replies
21K Views
Hii htc ilikua mpyaa inauzwa bahati mbaya nikaiangusha na kuipa crack kidogo,hiyo crack ipo kushoto chini ukiaangalia vizuri hizo picha utaiona,nimeitumia wiki tu. napatikana dar Bei:250,000Tsh...
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Heshima kwenu wadau wa jf. Jana nimedondosha simu yangu. Natafuta mdau anayeweza kuniuzia simu kwa bei hyo 250000. Isiwe tekno,huawei. Ila sony,sumsung,htc zitapewa kipaumbele.napatikana mwanza...
0 Reactions
5 Replies
582 Views
natafuta vifaa vya kutengenezea chack hasa model anaye jua wapi naweza zipata tafadhali tujuzane kwa 0765310077, nipo kanda ya ziwa Magu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutoka kwa Millard AYO Kaa tayari kwa dili lingine kubwa kutoka TECNO - millardayo.com Kampuni inayoongozwa kwa kuuza simu bora na imara kwa bei nafuu, Tecno kila siku wanaumiza vichwa...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Habarini za leo wanajamii forums, nina kiwanda cha kukamua mafuta ya Alizeti ni kipya na kipo kwenye jengo jipya kabisa katika kijiji cha shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida ambapo ni maarufu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
price:450,000Tsh 0673206639
0 Reactions
5 Replies
869 Views
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wadau nilikua nataka kujua gharama za vyumba vya bei nafuu kwa mwezi huko bellville, capetown SA. Maana nina safari ya kibiashara na nitakaa huko takribani mwezi mmoja kwa yeyote anaefahamu...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Habarini za asubuhi wanajamii forums, nina kiwanda cha alizeti machine mpya kabisa na jengo jipya kabisa lipo shelui wilayani Iramba mkoa wa singida, kiwanda kipo katika miundombinu mizuri pembeni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja. Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki. Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom