Nauza LapTop PC ina miezi 7 tu.

Nauza LapTop PC ina miezi 7 tu.

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,932
Reaction score
34,916
Habari wadau wa JF,

Kuna mtu anauza LapTop aina ya HP.Ina Hard Disc 116 gb, CPU 2.40 GHZ, Processor: Intel(R) Core(TM);Duo CPU 2.40 GHZ.
Note:Usijali sana kuhusu picha ni ubovu wa kamera tu.Kompyuta ni mpya ina miezi 7 tu - Inauzwa kwa sababu za ghafla tu za kiuchumi zilizojitokeza na si vinginevyo.

BEI: Tsh 350,000/-

Mawasiliano:0659364407/ 0767755304
 

Attachments

  • PC.jpg
    PC.jpg
    5.8 KB · Views: 56
Au hata kama mtu atakubali anipe pesa hiyo then nikaweka PC kama bond pia hakuna tatizo.Ni makubaliano
 
Yaani mkuu hard disk 116GB alf RAM 2GB kwa 350k.................. Yaani hata 200k hupat

Hard disk ndgo mno kwa hyo bei yako...........

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Hako ka pc kako kawauzie wanakijiji wasiozijua mashine, hiyo pc ni version ya 2006 huko nyuma! Yaani uwezo wake mdogo mno. Sasa ivi tunazungumzia angalau iwe ya iCore series processors
 
Hako ka pc kako kawauzie wanakijiji wasiozijua mashine, hiyo pc ni version ya 2006 huko nyuma! Yaani uwezo wake mdogo mno. Sasa ivi tunazungumzia angalau iwe ya iCore series processors
Tangu nijiunge humu JF kitu ambacho nimekigundua asilimia kubwa ya watu humuwako desperate, yaani ni watu lawama, matusi, kulalamika ovyoovyo, kukosoa kosoa kila kitu.Yaani wako depressed sana.Binafsi nakushauri - kaa nje ya JF kwa muda kidogo utarecover humu pameharibu wengi kisaikolojia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom