Natafuta Nyumba ya kupanga Mbeya!

Natafuta Nyumba ya kupanga Mbeya!

Mama Brian

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2010
Posts
320
Reaction score
21
Wadau wa JF naomba msaada kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata nyumba nzuri ya kupanga Mbeya, iwe selfcontained,isiwe kubwa sana ya wastani.msaada tafadhari.
 
Uzuri ungesema na eneo unalo taka ni wapi mama John au Mwanjelwa au Forest au Mbalizi eneo gani unalo taka zaidi?
 
Wadau wa JF naomba msaada kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata nyumba nzuri ya kupanga Mbeya, iwe selfcontained,isiwe kubwa sana ya wastani.msaada tafadhari.

Nyumba za aina hiyo sku hizi zinapatkana sehemu kibao, ukitaka uswazi SOKO MATOLA, au SAE,FOREST MPYA, FOREST YA ZAMANI popote unapata. Labda ungeuliza ni vipi utapata, dau lako tu muzeei, ukionana na madalali pale SOWETO utapata BLOCK T na hata UHINDINI ghorofani!
 
Uzuri ungesema na eneo unalo taka ni wapi mama John au Mwanjelwa au Forest au Mbalizi eneo gani unalo taka zaidi?

Nataka sehemu iliyotulia ambayo siyo uswahilini, nisaidieni tafadhari kama mnacontact ya mtu please am serious.
 
Nyumba za aina hiyo sku hizi zinapatkana sehemu kibao, ukitaka uswazi SOKO MATOLA, au SAE,FOREST MPYA, FOREST YA ZAMANI popote unapata. Labda ungeuliza ni vipi utapata, dau lako tu muzeei, ukionana na madalali pale SOWETO utapata BLOCK T na hata UHINDINI ghorofani!

Amoeba sitaki uswahilini please nisaidieni kama mnacontact ya mtu mnamfahamu please!
 
Au kama kuna nyumba ambazo ziko karibu na Mbeya Institute of Technology please msaada.
 
nyumba pale mbeya hazitafutwi sana....we nenda cha muhimu uwe na enough cash..........
 
nyumba pale mbeya hazitafutwi sana....we nenda cha muhimu uwe na enough cash..........

Tatizo sijui maeneo yapi nimazuri iam very new there that is problem.ningepata mtu anayejua maeneo mazuri walau anipe mwangaza then from there i can do something, but i really dont know.
 
Tatizo sijui maeneo yapi nimazuri iam very new there that is problem.ningepata mtu anayejua maeneo mazuri walau anipe mwangaza then from there i can do something, but i really dont know.

Pole mama B
najaribu kuwasiliana na jamaa walioko kule jioni ya leo, nikifanikiwa kupata mawasiliano ya dalali ntakupm. Hiyo institute iko nje kabisa ya Mji, na ji. Mambo ya bei utaongea na dalali mwenyewe (akipatkana)
 
Pole mama B
najaribu kuwasiliana na jamaa walioko kule jioni ya leo, nikifanikiwa kupata mawasiliano ya dalali ntakupm. Hiyo institute iko nje kabisa ya Mji, na ji. Mambo ya bei utaongea na dalali mwenyewe (akipatkana)

Thanks Amoeba i really appreciate.
 
block T na uhindini huko kuna nyumba za national housing nini? bei yao wanaendaje jamani?
 
Kuna ndugu yangu anahitaji nyumba maeneo ya Nzovwe au Iyunga vyumba 3, seating, jiko na stoo. Ijitegemee (siyo ya ku-share) kama kuna mtu anafahamu naomba anijuze PM ili nimpe namba ya mhitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom