Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Amani iwe kwenu. Mimi ni mzalishaji wa sembe bora. Nepeleka dar-es-salaam na Moro. Napokea oda za sembe kwa mfuko wa kilo 25. Sembe ni nzuri na nyeupe. Bei ya jumla ni tsh 26000tsh kwa kilo 25...
1 Reactions
0 Replies
871 Views
natafuta flat screen tv nina 150,000 aina yoyote. nipo ddarr
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Kwa laki mbili nitapata simu gani wakuu iliyotumika na yenye Hali Nzuri. Na itapendeza Zaidi kwa watu wa moshi na Arusha. Kwa mawasiliano 0654278188
0 Reactions
19 Replies
2K Views
nyumba ipo eneo la masuguru karibu na shule,imefikia kwenye renta .ina raman ya kisasa kwa mawasiliano piga namba 0658114111
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Habari wakuu, Natafuta frem ya kukodisha maeneo ya ferry/kivukoni Dar es Salaam, budget yangu ni kuanzia tsh 120,000/= mpaka 180,000/= kwa mwezi, malipo kodi ya miezi 6. Mwenye nayo tuwasiliane...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CONDITION - used RUNING WINDOWS 10 PRO PROCESSOR - intel core i7 @ 3.1 ghz RAM - 12GB [4X3] GRAPHIC CARD - AMD radeon hd 6950 GRAPHIC MEMORY - 2GB GDDR5 HDD - 1 TERA 26" FLAT HD MONITOR WITH...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu iko in Great condition, battery is good Bei 450,000/= Negotiable kidogo
1 Reactions
7 Replies
792 Views
Kuna aina 3 ya dawa. 1.Inakuza eneo ambalo limepotelewa na nywele kwa sababu ya kemikali au DNA cells (kuotesha upara),kwa wanaune na wanawake. kipimo ni 200mls @30000/- 2. Inakuza nywele...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari Naweza kupata chumba ambacho ni Self maeneo ya Mombasa Area karibu na kiwanda cha Zainab Bottlers? Na je gharama za chumba zikoje?Wanapokea kwa mtu anaekaa kwa miezi mitatu? Nashukuru...
0 Reactions
1 Replies
858 Views
wakuu nauza tecno W3LTE ina hali nzuri na bei ni 140000/= niko dar/tandika mawasiliano ni 0652002828.simu ina hali nzuri
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza harrier imetumika miezi 5 tuu Tanzania. Imekatiwa Bima Kubwa. Anaehitaji kindly inbox Bei tsh mil 18 1.plate number DGT 2.Ya mwaka 1999 3.imetembea km 96000 4.ina CC 2200 5.ipo katika hali...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari!,wakuu kama. Unahitaji Simu smartphone used nzuri kwa bei rahisi kuanzia tsh.Elfu 60 hadi laki 3 inategemeana na Simu tuwasiliane kwa WhatsApp 0719269820 tuna Simu nyingi nzuri!
1 Reactions
5 Replies
2K Views
hii juice dispenser inauzwa haina matatizo makubwa! tatizo lake ni pale sehemu ya kukoroga tu ila panarekebika! lakini inapoza vizuri tu na haraka zaidi! nilikuwa na mpango wa kurekebisha...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
iwe nzima 100% working napatikana Arusha au Mbeya
0 Reactions
2 Replies
699 Views
Wana Jf nauza COMPUTER PC na LAINI YA UWAKALA MPESA bei maelewano. Nipo Maeneo ya DAR TEGETA nipigie 0654191006
0 Reactions
2 Replies
777 Views
linadumu kwa miaka miwili lina uwezo mkubwa wa kukausha maji linaosha vioo vya nyumba lina save maji linadeki seh kubwa kwa muda mchache lina deki seh ambazo mikono haiwezi kufika tunatuma hadi...
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Nyumba inauzwa maeneo ya magomeni kagera.ina vyumba sita,choo na bafuu vya ndani kwa ndani. Pia inauzio mkubwa wa ukuta na ina geti. ila gari haliwezi kufika ndani huwa lakini unaweza kupaki...
1 Reactions
1 Replies
749 Views
Naomba msaada wakuu natafuta chumba cha kupanga sehemu hizo gharama yake iwe kati ya sh.60-50 kwa mwezi na pesa ya kutoa ipo nina uhitaji wa haraka sana wakuu please.amvaye anapangisha au anaweza...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Kwa wale wanaopata shida kulea vifaranga wa siku moja kampuni ya godson poutry solution wanawaletea vifaranga wa wiki mbili aina ya kenbro,Israeli Na Malawi .vifaranga wamepewa chanjo zote muhimu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujua bei za pressure pump za kuoshea magar na mgawanyiko wake wakuu kwa wanaofahamu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom