Become a CCTV camera installer/Technician just by attending this short course provided by Dsat Technology.
TRAINING SHORT COURSE ON CCTV CAMERA INSTALLATION
Working as a CCTV operator...
Heshima kwenu wadau,
Shule ya watoto wadogo imefunguliwa Pongwe,umbali wa nusu kilomita toka Pongwe bus station.
Shule inamilikiwa na mwalimu kwa taaluma na itafundishwa na kuongoza naye.Ina...
Habari zenu wana jf, kunadharura imetokea iliyosababisha uhitaji wa fedha kwa haraka inabidi niuze gari hii Naomba kwa atakaye hitaji tuwasiliana kwa Namba 0713926364
Bei ni Tsh 13 mil
Karibuni
Nina eneo la kiwanja maeneo ya Kange -TANGA , nyuma ya kiwanda cha PEMBE, eneo hili linafaa sana kwa kuwekeza katika biashara ya hardware ,kiwanja ni kikubwa sana karibia hatua 40x40 . Kwa...
nauza nyanya fresh toka shambani (
(kiluvya )box shilingi 25,000/= na cherry tomatoes (vidogovidogo) kwa kilo shilingi 4,000/= nyanya zote ni fresh. tafadhali wasiliana nami kwa namba 0621095977
Wakuu, mambo vipi?
Mimi ni Application/Software Developer. Nina System kwa ajili ya Hospitals.
Ninatafuta Mtu anayeweza kuwa Markertier wa hiyo System. Kazi yake ni Kutafuta Mteja /Wateja tu...
Hello.
Naomba kwa muuzaji wa office lockers nikipata zenye milango kuanzia 6 hadi 8 itakua nzuri zaidi.
Kama unazo na unauza plz contact me bei zake na pia nitumie picha kwa PM.
Habari za muda huu wapendwa waheshimiwa wa jamii forums,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninauza kwa kuwa nimepatwa na matatizo kidogo bei ni 150k deki na tv,
Deki nimeinunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.