Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau mimi ni mtaalamu wa kudesign websites na mitandao mwingine kulingana na mahitaji yako. Kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane 0687535650, Bei ni kuanzia 250000 unapata website yako safi kabisa.
0 Reactions
0 Replies
524 Views
nawasalimu wa wakuu!!!! kwa anae uza dry za mkono na za kawaida zile za saloon ya kike.. naomba mnitajie bei zenu ikiwezekana na pc kabisaa nashida nazo. ikumbukwe pesa yangu ni fupi na kifaa...
0 Reactions
5 Replies
699 Views
Wakuu, nahitaji Tv Nch 42 LED yenye accessories zote HDMI code, Remote yaan iwe katika hali nzuri. Niko Singida. Tuwasiliane 0652902994
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mtu yeyote anayemiliki ghorofa la kuanzia floor mbili kwa matumizi ya ofisi ndani ya 'jiji' la Bukoba tutafutane. Jengo hilo liwe ni jipya na la kisasa kabisa... Liwe na hati, Liwe halina...
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Vigezo 1.Ukubwa kuanzia sqm 300-400 2.Eneo la viwanda mikocheni Taja kodi ya mwezi sahihi Call 0689315582
2 Reactions
0 Replies
900 Views
wakuu naombeni ushauri computer zipi ninunue kwaajiri ya kufundishia watoto?
0 Reactions
0 Replies
772 Views
kuna dogo kaniletea hela za kichina hapa kama 3, zpo hivi, YUAN 5, 1,1 zina thaman gani kwa Tanzania! Mwenye kujua anijuze!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
anayeiuza tafadhali
0 Reactions
2 Replies
809 Views
Simu ni used mwez 1 na week 2,ipo kweny hali nzuri,rangi yake ya champaign gold...nakupa charger,ear phon,box na risit ipooo bei ni 170,000 km unahitaji ni pm.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wale wenye laptop au pc zisizo na WiFi haijalishi ni computer ya aina gani ina inakuja na CD zake kwa ajili ya driver..inauwezo wa kudaka na kutawanya wireless mita 300.contact 0657154954 Bei 40000
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Serious buyers only Allbra2k@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanabodi,mwenye mashine ya kisasa used au brand new ya kufua na kukausha nguo at the same time(two in one) yaani washing and drying machine kwaajili ya biashara naomba tuwasiliane ila iwe...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
One 2 One focus co.ltd ni kampuni ya ujenzi inayosaidia wateja wake kupata mikopo ya ujenzi wa nyumba za makazi na za biashara. Ili uweze kukopa inabidi uwe na kimoja kati ya vifuatavyo; Hati ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza cm iphone s4 bei sh.laki 4 nicheki cm no 0769322746
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Salaamu wanaJamii, Nataka kupata mtu anayeleta Samaki aina ya SATO WABICHI kutoka Mwanza kuja Dsm na anauza kwa Jumla tuwasiliane. Nataka kupata Mzigo (Mawasiliano: 0767235923). Karibu sana!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza vifaranga wa nyama waliokwisha patiwa chanjo zote New castle, Typhod pamoja na Bomboro. Wana afya njema na wako katika hali nzuri sana. Umri: Siku 12 Idadi: 150 Tsh. 3300 kila kifaranga...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Salaam wandugu nauza gari aina ya Suzuki Cary ipo Dar bei ni ml.6 iko vzr alie tayari karibu tuyajenge.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza simu ya tecno sh laki na elfu kumi tu taslimu za kiTanzania
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauza simu tecno j8 haina tatizo lolote ni ya rangi nyeupe 270k napatikana dar es salaam 0675990776
1 Reactions
4 Replies
875 Views
Back
Top Bottom