kama kichwa kinavo sema nahitaji huo mzigo iwe ni flat screeen. uwe ktk hall nzuri halali haijawahi kufunguliwa bajeti ni 120,000 hadi 150,000
kama unayo
0753 44 55 31
We back again..
IPhone 5c
New condition
GB 16
Bei 360,000
Comes with USB charger...
Used IPhone 5s
GB 16
Very good condition.
Bei 440,000..
Only phone..
IPhone 6
GB 16
New...
Kama mada inavyojieleza,ninauza mlango wa kioo na aluminium wenye ukubwa wa futi 6 kwa 7.
Bei ni laki nne na nusu(450,000/=),una hali nzuri kabisa,umetumika kwa mwaka mmoja tu.Mlango upo...
NINAZO MBILI KILA MOJA INA 50W, KWA HIYO ZOTE MBILI NI 100W bei 165,000/= nililetewa toka UK unaweza weka chini maana zina stand yake au juu ya bati achana na panel za kichina njoo uchukue hizi...
Tunauza vyungu original vya aina mbalimbali jumla na rejareja. punguza matumizi ya sufuria kwa ajili ya afya yako na dumisha utamaduni wako.
Vinapatikana kwa bei nzuri na size na design mbalimbali
Husika na kichwa cha habari apo juu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Ninaishi dar kwa kujitegemea nikiwa pamoja na mdogoangu mwenye umri wa miaka 18. Elimu yangu ni form four na nina...
Shamba linaukubwa wa heka mbili lipi nnje kidogo ya mji wa ifakara lipo baada ya airport ya ifakara maji bomba yapo Jirani na ukitaka kuchimba maji (Water table ipo juu) unachimba kidogo tuu bei...
The Matokeo Project
A data driven approach to improving education in Tanzania
How many schools in Singida offer Mansory? Do subject offerings reflect the needed skill sets for a given region...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.