Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu kwenye eneo aniuzie linalofaa kwa kuchimba kisima cha maji ya biashara Ili niuzie wakazi, eneo lenye shida ya maji hasa0754459572
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Call/whtasp 0659633720 #0659633720 Brand new Iphone 7 plus Genuine Internal memory 32gb Full box with sealed accessories Free Offer Glass protector Price 2,040,000/= negotiable (Milion 2 na Elfu...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Stock ya Week Hii Samsung Smartphones J1 Mini = 195,000 J1 ace, 3G=222,000 J1 ace, 4G=279,000 J2, 3G = 279,000 J2, 4G = 320,000 J3, 4G = 395,000 J5, 3G = 397,000 J5, 4G = 435,000 J7, 3G =...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
- Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/= - Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva-Tshs.600,000/= - Gearbox-Tshs.200,000/= -...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habar wapendwa? Natangaza kwa wale wapenda maendeleo,wanaohitaji mashamba, viwanja, beach au eneo kwa ajili ya shughuli yoyote kwa upande wa Kigambon (Kimbiji) Dar Tanzania Nitafute sasa...
0 Reactions
61 Replies
11K Views
Wakuu Heshima kwenu, Mimi ni Kijana wa kiume umri miaka 25, nakuja kwenu kuomba Kazi ya Udereva.....nina uzoefu wa udereva kwa miaka zaidi ya 4, kwa mikoa ya DSM, kilimanjaro , Morogoro...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Brandnew iPhone 5 for sale Original and Full Boxed with all accessories All Silver in colour 32GB Internal storage....460,000 Call 0784780955 or whatsap +86 15005284617
0 Reactions
3 Replies
857 Views
Nguruwe na mtoto wake anauzwa yuko kagongwa kahama kwenye kiwanja changu ni mbegu nzuri anazaa kuanzia watoto 10 nakuendelea aliwahi zaa 18 nahitaji pesa haraka so karibuni i
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 4.5M. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora. Kiwanja #29 &...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Je Wewe Ni Mfanyabiasha? Mjasiliamali? Mtaalamu/fundi? Unauza Kitu/bidhaa Fulani? Tangaza Katika Blog Yetu Yenye Viewers Zaidi Ya 3000 kwa siku katika kipindi hiki cha mwishoni mwa mwaka kwa tsh...
0 Reactions
6 Replies
832 Views
Je una uhitaji wa ANDIKO gani? karibu tujadili, tunaandaa ANDIKO lolote katika nyanja za uchumi, biashara, jamii, elimu ya juu n.k ANDIKO ni kama mwongozo na Nyenzo mhimu katika kufanikisha...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Ipo kwenye hali Nzuri.. location-Kibamba Picha imegoma ku upload hapa JF,Kwa njia ya whatsap unaweza tumiwa. Sh,500000 tu. 0674312408 galaxy tab E model number-Sm_T561 Android version...
1 Reactions
1 Replies
668 Views
Mimi ndo naanza ufugaji wa kuku sijajua mashine zinapatikana wapi mimi Nipo vikindu aliopo maeneo ya mbagala anijuze
0 Reactions
5 Replies
933 Views
Wadau nauza pilipili mbuzi na kichaa Piga 0625 568600
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Wadau, Nahitaji mbolea ya kuku, preferably ile ambayo imeoza (imekaa muda mrefu baada ya banda kusafishwa). Nipo Dar. Kama mbolea ipo maeneo ya kama unatoka nje ya Dar kama vile Mbagala...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Chumba,sebule na choo cha nje utakacho tumia peke yako ushei na wapangaji wengine pia una sehemu yako pekee ya kuanika nguo. Eneo Manzese Midizini TipTop,kodi kwa mwezi 130,000. Mawasiliano +255...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji viti na vifaa vingine vya salon ya kiume.
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Nahitaji Moderm yenye kutumia laini yeyote... Naomba kufahamu bei zake Ahsante
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF... Ninauza korosho kilo moja kwa sh 3000 nina kilo 200. Nipo Dar es salaam, korosho zipo wilaya ya mkuranga na free delivery kwa dar es salaam. Kwa mteja aliye serious ani DM
1 Reactions
2 Replies
772 Views
PUREWELL(water filter) ni kifaa kizuri sana kwa ajili ya kusafishia maji na kufanya yawe safi na salama. Hautakuwa na haja ya kuchemsha tena maji. Kifaa hiki pia kinatibu SI kusafisha tu minyoo ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom