- Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/=
- Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva-Tshs.600,000/=
- Gearbox-Tshs.200,000/=
-...
Habar wapendwa?
Natangaza kwa wale wapenda maendeleo,wanaohitaji mashamba, viwanja, beach au eneo kwa ajili ya shughuli yoyote kwa upande wa Kigambon (Kimbiji) Dar Tanzania Nitafute sasa...
Wakuu Heshima kwenu, Mimi ni Kijana wa kiume umri miaka 25, nakuja kwenu kuomba Kazi ya Udereva.....nina uzoefu wa udereva kwa miaka zaidi ya 4, kwa mikoa ya DSM, kilimanjaro , Morogoro...
Brandnew iPhone 5 for sale
Original and Full Boxed with all accessories
All Silver in colour
32GB Internal storage....460,000
Call 0784780955 or whatsap +86 15005284617
Nguruwe na mtoto wake anauzwa yuko kagongwa kahama kwenye kiwanja changu ni mbegu nzuri anazaa kuanzia watoto 10 nakuendelea aliwahi zaa 18 nahitaji pesa haraka so karibuni i
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 &...
Je Wewe Ni
Mfanyabiasha?
Mjasiliamali?
Mtaalamu/fundi?
Unauza Kitu/bidhaa Fulani?
Tangaza Katika Blog Yetu Yenye Viewers Zaidi Ya 3000 kwa siku katika kipindi hiki cha mwishoni mwa mwaka kwa tsh...
Je una uhitaji wa ANDIKO gani? karibu tujadili, tunaandaa ANDIKO lolote katika nyanja za uchumi, biashara, jamii, elimu ya juu n.k
ANDIKO ni kama mwongozo na Nyenzo mhimu katika kufanikisha...
Ipo kwenye hali Nzuri..
location-Kibamba
Picha imegoma ku upload hapa JF,Kwa njia ya whatsap unaweza tumiwa.
Sh,500000 tu.
0674312408
galaxy tab E
model number-Sm_T561
Android version...
Wadau,
Nahitaji mbolea ya kuku, preferably ile ambayo imeoza (imekaa muda mrefu baada ya banda kusafishwa).
Nipo Dar.
Kama mbolea ipo maeneo ya kama unatoka nje ya Dar kama vile Mbagala...
Chumba,sebule na choo cha nje utakacho tumia peke yako ushei na wapangaji wengine pia una sehemu yako pekee ya kuanika nguo. Eneo Manzese Midizini TipTop,kodi kwa mwezi 130,000. Mawasiliano +255...
Habari zenu wana JF... Ninauza korosho kilo moja kwa sh 3000 nina kilo 200. Nipo Dar es salaam, korosho zipo wilaya ya mkuranga na free delivery kwa dar es salaam. Kwa mteja aliye serious ani DM
PUREWELL(water filter) ni kifaa kizuri sana kwa ajili ya kusafishia maji na kufanya yawe safi na salama.
Hautakuwa na haja ya kuchemsha tena maji.
Kifaa hiki pia kinatibu SI kusafisha tu minyoo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.