Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Una Website/Blog Yako na unahitaji iwe designed na kuwa na muonekano mzuri? Una website/blog na unahitaji application? Je unahitaji website kwa ajili ya biashara yako? KARIBU Tunatengeneza...
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Wadau kwa anayehitaji vigogo vya mti wa mvule na mizizi yake kwa kutengenezea furniture ndogo ndogo au vinyago tuwasiliane. Mzigo upo mkoani kilimanjaro.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wajameni, heshima yenu! Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata Liquid silicone/rubber anifahamishe. Najua Polytek ni watengenezaji wa bidhaa hii, lakini sijui kama Tanzania wana branchi. Hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani natafuta cassete za mashine ya canon 2520
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kichwa kinavo sema nahitaji huo mzigo iwe ni flat screeen. uwe ktk hall nzuri halali haijawahi kufunguliwa bajeti ni 120,000 hadi 150,000 kama unayo 0753 44 55 31
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Nina shida na laptop... Yeyote aliyenayo anataka kuuza..tuwasiliane...nipo mwanza
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Nina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Hp envy M6 I need money Bei 750,000 Specs zipo hapo chini Sorry ina kisticker cha apple.
0 Reactions
0 Replies
499 Views
We back again.. IPhone 5c New condition GB 16 Bei 360,000 Comes with USB charger... Used IPhone 5s GB 16 Very good condition. Bei 440,000.. Only phone.. IPhone 6 GB 16 New...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
Kama mada inavyojieleza,ninauza mlango wa kioo na aluminium wenye ukubwa wa futi 6 kwa 7. Bei ni laki nne na nusu(450,000/=),una hali nzuri kabisa,umetumika kwa mwaka mmoja tu.Mlango upo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu wapi naweza pata masweta ya shule kwa bei ya Jumla.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
NINAZO MBILI KILA MOJA INA 50W, KWA HIYO ZOTE MBILI NI 100W bei 165,000/= nililetewa toka UK unaweza weka chini maana zina stand yake au juu ya bati achana na panel za kichina njoo uchukue hizi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji lain ya tigo pesa nina laki na ishirini mjuavyo uchumi mgumu 0758844240
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Wana umri Wa wiki tano Na siku tatu. Uzito kuanzia 1.5kg mpaka 2.5kg Wako Kimara. Idadi: wapo 200 Bei: Tsh 5500/kuku 0767382415
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Wana umri Wa wiki tano Na siku tatu. Uzito kuanzia 1.5kg mpaka 2.5kg Wako Kimara. Idadi: wapo 200 Bei: Tsh 5500/kuku 0767382415
1 Reactions
0 Replies
773 Views
DJ Mwanga: New AUDIO | Erico - Mr Material | Download
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Tunauza vyungu original vya aina mbalimbali jumla na rejareja. punguza matumizi ya sufuria kwa ajili ya afya yako na dumisha utamaduni wako. Vinapatikana kwa bei nzuri na size na design mbalimbali
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Husika na kichwa cha habari apo juu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Ninaishi dar kwa kujitegemea nikiwa pamoja na mdogoangu mwenye umri wa miaka 18. Elimu yangu ni form four na nina...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
KISSIMA PAINTING SOLLUTION. Tunafanya yafuatayo: -Tunapaka Nyumba Rangi na kuweka Mapambo mbalimbali. -Tuna Funga Tiles -Tunapaka Rangi Mabati+Vigae vilivyozeeka. -Tunafunga Vioo vya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…