Habari zenu wakubwa kwa wadogo,
Heshima kwenu. Naitwa Victor Dawson mkazi wa Arusha. Natafuta kazi ktk kampuni ya kitalii kwani bila kushikana mkono ni ngumu kidogo.
Kwa mwenye wazo au msaada...
Habari?
Nauza incubator yangu ya mayai 1056. Ni mpya ipo kwenye box haijawahi kutumika tangu iliponunuliwa. Ni full automatic kuanzia kugeuza mayai, kutawala joto na unyevunyevu na kuongeza maji...
Canon 2420 Photocopy inauzwa ni Mpya ipo Dsm kinondoni biafra ina miezi 5 tangu inunuliwe na haina tatizo lolote kwa anayeitaji tuwasiliane kwa 0714803551
Habari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
Condition: Mashine iwe katika hali nzuri. Na iwe haijawahi kupata major accident.
Location: Dar es salaam
Bajeti: 700,000 (Subject to change)...
Intersted seller, nipatie details za chombo chako...
Full Ac, Maji baridi 24/7 hrs, Umeme ulipii wala maji ulipii, malipo kwa semester 1 au 2 ruksa kupika pia ruksa.
Piga kwa Maulizo
1. 0713 506472
2. 0758 506472
3. 0755 014110
Note that it's a...
habari wadau kuna chumba na sebule vinapangishwa ubungo near mabibo hostel..
kuna umeme na maji
choo cha kushea wapangaj watatu..
vyumba sio vikubwa sana..
kodi inalipwa.miez sita.
ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.