Habari zenu?
Nauza asali ya nyuki wadogo kutoka Moshi Kilimanjaro. Haijachanganywa na kitu chochote. Inatibu maradhi mengi kama mmengenyo wa chakula (digestion) kuondoa mafuta mwilini, kuondoa...
Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.
Habarini wanaJF kuna ndugu yangu anahitaji nyumba maeneo ya kimara iwe na vyunba viwili vya kulala,sebule ,jiko na choo luku ya peke yake maji hakiwa ya kushea sio mbaya iwe na fance na parking na...
Habarini wana Jukwaa
Baada ya kuanza kukamua Alizeti ili kupata mafuta ya kula, nimebakiwa na kiasi kikubwa cha Mashudu ya Alizeti kwenye kakiwanda kangu kaliyopo Wilayani Mpwapwa, Dodoma.
Kwa...
Wakubwa naomba msaada kiwanja cha sq 1800, nataka kujenga ghorofa moja ya viyumba 5 na 1 sitiing room kitchen 2 stores na dining na jiko inaweza gharimu ngapi? Na vifaa vyake na bei na ukuta wa...
chumvi ya mawe (ambayo haijasagwa) inauzwa bei ni shilingi 300,000. kwa tani moja bei hii ni kwa Dar es Salaam. Kwa wateja wa mikoani na wanaohitaji kiasi kikubwa mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano...
Shamba linauzwa liko Msowero Kilosa line ukubwa wa ekari 65 kuna nyumba barabara nzuri liko kando ya mto Msowero linafaa kulima kilimo cha umwagiliaji ukiondoa foleni ni mwendo wa masaa manne tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.