Simu inahitajika

Simu inahitajika

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
I we katika ubora mzuri chaji na earphones ziwepo iwe na ubora mzuri sana kwa
Nina laki 190,000/=

Njoo pm. Sasa hivi....
 
Mm nina Tecno W4 ina laki na Sabini kama upo tyr nicheck kwa no 0629166514 nipo shinyanga mkoa simu ina charge na [emoji442] ina muda wa miezi miwili
 
Mm nina Tecno W4 ina laki na Sabini kama upo tyr nicheck kwa no 0629166514 nipo shinyanga mkoa simu ina charge na [emoji442] ina muda wa miezi miwili
Picha mkuu
 
Picha mkuu
IMG_20170102_125010.jpg
IMG_20170102_124942.jpg
IMG_20170102_124925.jpg
 
Mkuu lakini simu ndo nipo naitumia wacha nikiazima simu nakupigia picha yake uione sawa
 
Nina iPhone 5 plus ....sema utapunguza kidogo nikuuzie kwa 155,000/= coz sina njaa ya hela. Simu ni mpyaaa!!
 
Nenda dukani watakuuzia ya laki 3 kwa bei hiyo.....hali ngumu siku hizi utagombaniwa hatari januaru hii kuna wengn wanarudisha frem hawana pesa ya pango .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom