Wakuu habari za jioni Nauza iPad Air 2 with 32GB. Ina nyimbo kibao za zamani na za sasa hivi pia imekwaruzika kidogo pale juu lakini inafanya kazi vizuri aliyetayari kwa 7K ila bei tutaongea...
Ni eneo zur liko barabaran kabisa karibia na magorofa ya dege. Umeme umepita na barabara ya lami. Umbali ni mita 50 kutoka main road. Ukubwa ni mita 23*24. Bei ni milion 6 maelewano yapo. Hakuna...
Kwa mahitaji ya; UCHORAJI, MIHURI, KUANDIKA NAMBA ZA MAGARI KWENYE VIOO, KUANDIKA VITAMBAA VYA MATANGAZO, KUANDIKA ARAMA ZA BARABARA, VIBAO VYA CONTRACT, KUANDIKA MABANGO KWA KUTUMIA RANGI NA...
nauza cd za mafunzo ya dish pamoja na kuweka software, CCTV camera, simu za maofisini na jinsi ya kutengeneza mashine ya kunyonyolea kuku kuku manyoa kwa anaehitaji aje pm cd moja ni 5000/=
UPDATED...
Habari zenu wakuu,
To the point,
Well niko na muwakilishi wa kiwanda cha ma carpet kutoka Egypt anatafuta wanunuaji wa jumla wa mzigo wa high quality textile and plastic carperts...
Aliyepo mbeya wandugu nisaidieni ambaye ana mayai kwa ajili ya kutotolesha
I we
Chotara
Kenya
Kuloiler
Au Kali
ni hitaji la haraka na hitaji mayai 150
Niko mbeya ileje
0753445531
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.