Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

IWE SUV (RAV 4, XTRAIL, HARRIER, CRV ETC) SIHITAJI DALALI BALI MMILIKI. IWE IMENYOKA. DALALI KAA MBALI. BEI NI KULINGANA NA HALI YA GARI YAKO.
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Nahtaji Mashine ya TV flat aina ya wega star, mwenye nayo anaweza nicheck PM au nicheck kwa Sirngonyani@gmail.Com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam. Nina shida, nahitaji cartridge ya printer HP No. 21 iwe na wino au isiwe nao ili mradi ni nzima.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni Nauza iPad Air 2 with 32GB. Ina nyimbo kibao za zamani na za sasa hivi pia imekwaruzika kidogo pale juu lakini inafanya kazi vizuri aliyetayari kwa 7K ila bei tutaongea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni eneo zur liko barabaran kabisa karibia na magorofa ya dege. Umeme umepita na barabara ya lami. Umbali ni mita 50 kutoka main road. Ukubwa ni mita 23*24. Bei ni milion 6 maelewano yapo. Hakuna...
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Wakuu habari zenu Nna huwawei 625 nmeinunua si mda naiuza kwa laki 2. Warranty yake nakupa ni ya mwaka mmoja. If interested nicheki.
0 Reactions
8 Replies
945 Views
Kwa mahitaji ya; UCHORAJI, MIHURI, KUANDIKA NAMBA ZA MAGARI KWENYE VIOO, KUANDIKA VITAMBAA VYA MATANGAZO, KUANDIKA ARAMA ZA BARABARA, VIBAO VYA CONTRACT, KUANDIKA MABANGO KWA KUTUMIA RANGI NA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni compressor za kisasa kutoka Japan zinazalisha 15 bar,bei ni milioni 18.Mteja anaehitaji tuwasiliane kwa namba 0742159555
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nauza cd za mafunzo ya dish pamoja na kuweka software, CCTV camera, simu za maofisini na jinsi ya kutengeneza mashine ya kunyonyolea kuku kuku manyoa kwa anaehitaji aje pm cd moja ni 5000/=
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Wadada kazi kwenu
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu. Nauliza ni kampuni gani nzuri ya kukatia bima ya nyumba? Nahitaji kukatia bima nyumba yangu. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DURBAN APPARTMENTS FOR RENT. Mikocheni (Kwa Mawaziri Area) opposite Hekima Gardern Bar & Restaurant about > 200 Meters from CRDB Bank Mikocheni Branch (5 Minutes Drive), > 5 minutes drive...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Iwe ni maeneo ya tegeta mivumoni hali ya nyumba iwe nzuri Kama unajua nicheki.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mwenye kioo cha flat tv aina ya TANDAR inch 18 anicheki nahitaji, bei tunaweza patana. karibu PM au nicheck kwa sirngonyani@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
4K Views
UPDATED... Habari zenu wakuu, To the point, Well niko na muwakilishi wa kiwanda cha ma carpet kutoka Egypt anatafuta wanunuaji wa jumla wa mzigo wa high quality textile and plastic carperts...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jipatie net kwa punguzo la bei msimu wa sikukuuu
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Haya sasa kazi kwenu watoto wa kiume vitu ndio hivyo cal me 0679371407
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Aliyepo mbeya wandugu nisaidieni ambaye ana mayai kwa ajili ya kutotolesha I we Chotara Kenya Kuloiler Au Kali ni hitaji la haraka na hitaji mayai 150 Niko mbeya ileje 0753445531
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Natafuta chumba kimara mwisho au mbez mwisho kiwe karibu na barabara, pia kiwe na ceilingboard
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom