Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Aliyepo mbeya wandugu nisaidieni ambaye ana mayai kwa ajili ya kutotolesha I we Chotara Kenya Kuloiler Au Kali ni hitaji la haraka na hitaji mayai 150 Niko mbeya ileje 0753445531
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Natafuta chumba kimara mwisho au mbez mwisho kiwe karibu na barabara, pia kiwe na ceilingboard
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja. Bei kuanzia tsh 1.5m tu Kwa taarifa zaidi piga...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Zipo nafasi za kuhamia Kidato II na III 2017 Shule ya Bweni tu Shule ipo Tanga Jiji Tufuate www.facebook.com/Pongweislamicgirls
0 Reactions
8 Replies
4K Views
http://afyazaidi.org/wp-content/uploads/2016/12/MPANGO-WA-ELIMU-NA-USHAURI-WA-AFYA-KUPITIA-SIMU-ZA-MKONONI-1-1.pdf Jiunge na AFYA ZAIDI (AZ) CONSULTANTS sasa iliupate elimu na ushauri wa afya...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
kiwanja cha ekari tano .kila eka moja milioni tatu.kipo mlandizi karibia na kiwanda kikubwa cha kutengeza vyuma cha kuluwa.sio mbali kutoka barabara kuu..karibuni
1 Reactions
3 Replies
1K Views
kilo moja 1100.unga upo mwingi kbsa.unapatkana moshi.kwa Maelezo zaidi .karibuni pm
0 Reactions
5 Replies
613 Views
Nahitaji haraka sana printer za picha za rangi, budget yangu ni 300,000/=, nipo Mwananyamala Kinondoni Dar, Mawasiliano 0658825141 / 0767279713 iwe leo coz kesho natarajia kugeuza.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tecno c8 mwenye nayo anitafute 0767271818
0 Reactions
6 Replies
666 Views
Tabata segerea, bei ni sh 250,000/= inch 24, karibuni tu bargain
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu? Nauza asali ya nyuki wadogo kutoka Moshi Kilimanjaro. Haijachanganywa na kitu chochote. Inatibu maradhi mengi kama mmengenyo wa chakula (digestion) kuondoa mafuta mwilini, kuondoa...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Hii Offa ya Vifaranga ni Kwa wafugaji Wazoefu na Wafugaji wapya Tutakupa Elimu na ushauri Juu.ya ufugaji
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie net mpya kabisa na za kisasa popote ulipo unaletewa wa mkoan unatumiwa kwa mawasiliano zaid piga 0679371407
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.
2 Reactions
73 Replies
16K Views
Anaetaka 0658 047048. Bei yangu ni 150 chungwa moja. Kwa sasa nipo dar es salaam. Machungwa niya tanga muheza
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wanaJF kuna ndugu yangu anahitaji nyumba maeneo ya kimara iwe na vyunba viwili vya kulala,sebule ,jiko na choo luku ya peke yake maji hakiwa ya kushea sio mbaya iwe na fance na parking na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habarini wana Jukwaa Baada ya kuanza kukamua Alizeti ili kupata mafuta ya kula, nimebakiwa na kiasi kikubwa cha Mashudu ya Alizeti kwenye kakiwanda kangu kaliyopo Wilayani Mpwapwa, Dodoma. Kwa...
1 Reactions
0 Replies
976 Views
Habari wadau, Nauza samsung J7 16 GB Bei Tsh 375,000 Tu - 0787 408180 Ipo dar posta mpya Simu inakuja na charger tu. Clean white..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa Mahitaji yako yote ..ushauri..na utengenezaji na Kwa ajili picha zaidi njoo PM Or Whatsaap 0716889489
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom