Natafuta kazi katika makampuni ya kitalii

Natafuta kazi katika makampuni ya kitalii

Victwar

New Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
1
Reaction score
0
Habari zenu wakubwa kwa wadogo,

Heshima kwenu. Naitwa Victor Dawson mkazi wa Arusha. Natafuta kazi ktk kampuni ya kitalii kwani bila kushikana mkono ni ngumu kidogo.

Kwa mwenye wazo au msaada. Ntashukuru sana.

Heri ya mwaka mpya pia.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom