iphone 6s inauzwa laki 3

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
1,714
1,821
Wakuu habari zenu leo katika pita pita zangu kwenye mtandao wa kupatana kwa lengo la kutaka kununua smartphone nzuri kwa gharama nafuu ghafla nimekutana na chapisho la muuzaji mmoja akiuza smartphone aina ya iPhone 6s kwa tsh laki 3... hivi hiyo bei kakosea au maana nasikia ukienda madukan kununua hyo simu bei yake ni kuanzia milioni

PhotoGrid_1483472440668.png
Screenshot_2017-01-03-22-39-41.png
Screenshot_2017-01-03-22-39-41.png
PhotoGrid_1483472440668.png
 
kimbia bila kugeuka nyuma,huyo jamaa ni mwizi yupo njombe huko,huwa anajifanya anafanyia fire(zimamoto)kawaibia wajinga wajinga wengi...
 
Aaaaah kaka iyo ndio bei yake kwa maana hii iyo cm ni ina icloud kwaiyo utakaponunua ujue umenunua kioo au kitu kingine,kwaiyo usistukw
 
Kuna jamaa alitangaza anauza s6 laki 2

Mnunuzi : kwahio unasema hio simu ni nzima? Haina tatizo lolote?

Muuzaji: simu ni nzuri kaka, iko poa kabisa.

Mnunuzi: kama ni hivyo basi sawa, ila tu nakutahadhariaha, hii simu nampelekea bro ndio anaye itaka na ni askari polisi, sasa angalia tusije kupelekana pabaya simu ikiwa utadanganya. Nakutumia okay, niletee hapa mlimani cify ilinikulipe kabisa.

Muuzaji : embu subiri, hii aimu bnaa inachemka sana; ukiichaji ikifika dk tano inatoa kelele kuashiria chaji imejaa, na ukichomoa. Baada ya dakika mbili inazima.

Halafu imepaauka acreen
 
Back
Top Bottom