Habari wanajamii wenzangu,
Ninashukuru sana kwa michango yenu yote katika toipc iliyopita ya kununua gari kwa kutumia mkopo. Ni matumaini yangu mlijifunza jambo, ingawa kuna ambao walifikiri...
Habari wanajf
Nilikua nauliza kama kuna mtu ana contact ya fundi mzuri wa jiko la gesi maana naona kama jiko langu halipitishi gesi vizuri na moto unakua sio mkali
Natanguliza shukrani
Wandugu wa JF ninahitaji kununua Premio New Model no D. Iwe na CC 1500. Bei isizidi Million 9. Tafadhali nitumie msg kwenye PM kama una gari ya aina hiyo na ipo kwenye hali nzuri
Habari zenu wakubwa kwa wadogo,
Heshima kwenu. Naitwa Victor Dawson mkazi wa Arusha. Natafuta kazi ktk kampuni ya kitalii kwani bila kushikana mkono ni ngumu kidogo.
Kwa mwenye wazo au msaada...
Habari?
Nauza incubator yangu ya mayai 1056. Ni mpya ipo kwenye box haijawahi kutumika tangu iliponunuliwa. Ni full automatic kuanzia kugeuza mayai, kutawala joto na unyevunyevu na kuongeza maji...
Canon 2420 Photocopy inauzwa ni Mpya ipo Dsm kinondoni biafra ina miezi 5 tangu inunuliwe na haina tatizo lolote kwa anayeitaji tuwasiliane kwa 0714803551
Habari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
Condition: Mashine iwe katika hali nzuri. Na iwe haijawahi kupata major accident.
Location: Dar es salaam
Bajeti: 700,000 (Subject to change)...
Intersted seller, nipatie details za chombo chako...
Full Ac, Maji baridi 24/7 hrs, Umeme ulipii wala maji ulipii, malipo kwa semester 1 au 2 ruksa kupika pia ruksa.
Piga kwa Maulizo
1. 0713 506472
2. 0758 506472
3. 0755 014110
Note that it's a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.