Engine yake ilipata matatizo so kimsingi haina engine.
Inaweza kufaa kwa:-
1. Kutumia vitu vyake kama spare parts kwa aliye na aina ya gari kama hii
2. Kam unayo aina kama hii na body au baadhi...
Ninafanya biashara ya gas na vifaa vyake jijini MWANZA.nina changamoto ya kua na mitungi midogo ya kg 6. Kama kuna mtu anayo, ameacha kuendelea na biashara kwa namna moja au nyingine aniuzie hyo...
Plot ina uzwa ipo Tabata Kinyerezi shule karibu na bank ya mkopo njia ya kwenda songasi,haufiki songasi,ukubwa ni ni miguu 25 kwa 25 bei ni tsh Milion 27 maongezi,pana foundation imara sana ina...
Habari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
Nauza point of sale system yanii ni system nzuri kwa ajili ya kutunza kumbukumbu ya mauzo na manunuzi
inakupa faida ya siku wiki hadi mwezi yani kwa kifupi ni kwamba kama ni kula unajua kabisa...
WanaJF nmewaletea suluhisho la kulinda magari yenu katika kipind hiki kigumu ambavho kina wimbi la matukio ya wizi wa magari unaotokea katika nchi yetu hii... Suluhisho ya hili tatizo ni kifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.