Habar za humu wana JF mim ninataka kununua kabat la nguo ila nataka yale ya kukunja na kuweka kwenye box. (Mchina) nina laki 1.5 kama unalo nichek inbox
Brandnew iPhone 6 for sale
Original and Full Boxed with all accessories
Gold in colour
16GB Internal storage.
Price 850,000
Call 0763342257 or whatsap +86 15005284617
Nauza container la ulefu wa futi 20 . lipo katika hari nzuri sana na bado halijakatwa . document zote halali zipo . container lipo hapa Dar . bei Tsh 3.5m tuwasiliane kwa muhitaji 0657 14 55 55.
Mimi ni Mkazi wa Mbagala ninachukizwa na hizi foleni zisizo na msingi hapa Mbagala kisa hakuna stend lakini Zakhem umbali kadhaa yaaani hata ukichukua kalala unaseleleka unafika napenda kusema...
Habari za asubuhi wadau?
Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga.
Gunia 1 = debe 6 (si chini ya kilo 100)
Bei kwa gunia 1: 60,000 Tshs
Mpunga upo Ndala (Tabora)
0763718328
USWAZI FM
Support yenu kwa hii redio yetu online tusikilize live on mixlr pia unaweza kutusikiliza kwa kupakua application ya mixlr katika playstore pia unaweza kusikiliza moja kwa moja kwa...
Nauza viwanja viwli vyenye ukubwa wa 23*22 maeneo ya dege kigambon. Mita 50 kutoka barabara kuu yenye lami. Huduma za kijamii zipo zikiwemo umeme pia. Kwa kua vina ukubwa sawa bei pia znafanana...
wandugu nauza smart phone ya samsung gravity smart au galaxy q yenye android na full specs za smart phone for only 200,000/= tuwasiliane kwa pm kama una nia
kama unataka kuiona angalia hapa
Ni fenty puma shoes kwa wadada, bei nzuri 30000 , Dar tunafanya delivery na mikoa mingine tunatuma pia kwa mahitaji ya accessories cheni, hereni bracelet nk karibuni.
Cont 0767 62 69 90 whtsaap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.