Nyumba ipo umbali wa mita 300 kutoka barabara ya mbezi-goba-masana
Nyumba ina vyumba viwili na master moja
Sitting room,Jiko,choo cha ndani na stoo
Kwa maelezo zaidi
0719573444 Call/Whatsapp
Habari wakuu.
Kwa kuwa mwezi wa January shule zinafunguliwa, huu ni muda muafaka kwa wahasibu kuwa na clear plan ya kutunza rekodi e.G. Number of students, amount collected, amount due, budget...
Habari zenu waungwana.. kama mwanajamvi ninahitaji LAPTOP yenye hali nzuri.. maana Dukani sina uwezo wa kutoa hizo laki 5,6 nk.. Hivyo mwenye nayo tufanye biashara..
Tunauza na kubandika wallpapers kwa bei poa mno.
tupo Ubungo riverside
size ni 10X0.5M
bei ni tzs 45,000/- kwa roller
Fundi na gundi ni 25,000/- kwa rolla moja
whatsapp/sms/ 0715490570 au...
Nauza Gari Suzuki Escudo kwa Sh. 5,800,000/=.Gari haina shida bali ni kupiga rangi tu.Gari iko Mbezi ya Kimara,Dar es salaam.
Tuwasiliane 0683-796778 au whatsapp 0628-615685.
Nauza simu Techno C 9 , almost mpya. Ina screen protector ya kioo, back cover nzuri sana na ya kisasa, iko pamoja na kila kitu chake kwa maana ya charger, headphones, kitabu chake pamoja na box...
Ndugu zangu wana jukwaa,
Ninauza kigari changu aina ya Toyota Duet kwa harakaili kutatua tatizo linalonikabili. Gari yenyewe ina specifications zifuatazo:-
Make...
For sale galaxy A8
in new condition
32gb,4gLTE
Direction mbezi mwisho
mob 0658175728
Only buyers please all the bussiness should be on home mbezi mwisho
No deriver
Naomba msaada kwa yoyote anaejua bei ya manunuzi kwa kila kreti za pepsi na kama kuna idadi flani ya kreti ukichukua kuna kuwa na discount ? Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.