Habari wanajamii, tunatoa Huduma ya fire service yamitungi ujazo tofauti kilo 6,9,25,50, Huduma bora na service unafanyiwa kila banda ya miezi sita,tunauza pia karibuni Sana 'tunakuletea popote...
Chumba kipo Mwenge near TRA, Dar es salaam, kipo mahali tulivu na salama kipo ndani ya geti na paking ni kubwa, sehemu ina wapangaji wa chache na uhuru ni wako mpangaji, Bei ni 80,000 kwa mwezi...
Karibuni mjipatie raba nzuri kwa sh 35000 tu
Hatuna duka tunauza online lakini kwa uaminifu mkubwa
Njoo uweke order yako kwa kuchagua aina ya kiatu na size unayotaka
Tuna raba nzuri nyingine...
Ifanye nyumba yako, chumba chako au sebule yako kuwa na muonekano kwenye mvuto wa Aina yakeee. Kwa kutumia Wallpapers zenye ubora wa hali ya juu kutoka K-TRUST itaifanya nyumba yako kuwa na mvuto...
Habar zenu wanajf, Mimi nipo Tanga naomba kufahamishwa ni wapi naweza kupata pikpik aina ya Honda MD90 kwa dar es salaam na zinarange kwenye bei gani...natanguliza shukran.
Karibuni mjipatie raba nzuri kwa sh 35000 tu
Hatuna duka tunauza online lakini kwa uaminifu mkubwa
Njoo uweke order yako kwa kuchagua aina ya kiatu na size unayotaka
Tuna raba nzuri nyingine...
Karibu Autoguru workshop kwa kazi za aluminium na PVC kwa gharama nafuu zaidi kwa ajili ya nyumba yako au ofisi yako. Tunapatikana Kinondoni Manyanya mkabala na msikiti wa BAKWATA mtaa wa Brazil...
Wana Jukwaa Habarini
Nimekuwa nikipambana kwa muda wa miezi miwili sasa kumuuguza Bi Mkubwa Muhimbili. Juzi nimepewa Rufaa nimpeleke India kwa matibabu zaidi. Nikiangalia mfukoni hali haijakaa...
Nimejaribu kuuliza voda house niliponunulia hii simu lakini nao hawajui chochote, simu ni nzuri tu lakini nauliza kwa wewe ambae umeshatumia hizi simu spare zake ulipata wapi?
Kuna simu nzuri tu...
CeosTanzania hub ni group la whatssap linalokutanisha Wadau wa biashara kutoka mikoa Tofauti Tanzania lengo ni kujadili, kupeana Elimu inayohusu Uongozi, Ujasiliamali na Biashara. Kila mmoja...
Habari zenu wakuu.
Kama tangazo linavyosomeka ningependa kufahamu gharama za manunuzi ya machine ya kusaga nafaka pamoja mahali zinapoatikana.
Ningependa kufahamu pia taratibu nyingine za...
Tafadhali, husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji mashine ya kukamulia miwa kwa ajili ya kutengeneza sharubati ya miwa. Kwa anayejua zinapopatikana tuwasiliane: 0713 111171
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.