Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Husika na kichwa cha uzi hapo juu, Naomba kujuzwa kuhusu kampuni/maduka, mahali na bei ya hivi vifungashio. Vifubgashio hivi ni kwaajili ya kufanya packaging ya maziwa. Nipo Dar es Salaam.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana. Kila baada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12. Nimebadilisha maji lkn bado. Naomba kujua bei ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 natafuta nafasi ya kazi ya upambaji popote pale tanzania..... pia kama una sherehe yako unahitaji kupambiwa wasiliana nami 0672417132.
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Kampuni inaitwa Law Domain tuko Dar es salaam tunatoa huduma za kisheria, legal consultation, kwa wale wanaohitajia tafadhali wasiliana nasi kwa namba hizi; +255 222182212 +255685646786 au...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa wenye kujua maduka ya jumla ya vifaa vya umeme. Na ujenzi (hardware)
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mbao za futi 12 za dawa trited wood - 2x4 @ 7500pc - 2×2@ 4000pc - 1x8@ 14000pc - 1x10@18500pc Bei zetu ni za dukani na hazina udalali ogopa matpeli wa udalali wa mbao njoo upate kilicho bora kwa...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Year of manufacture: 2007 Cc: 1995 Colour: Blue ODO kilometer: 140, 000 condition: nzuri sana, inatumiwa na mwanamke Location: Mbeya city (forest mpya) Price: 13...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
[https://3] Ankal Issa Michuzi wa Michuzi TV, Millard Ayo na Askofu wa Ayo TV na Abdallah Mrisho wa Global TV wakitoka makao makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano walikoitwa kuchukua barua zao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana. Kila baada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12. Nimebadilisha maji lkn bado. Naomba kujua bei ya...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Mint condition. 2.3M
0 Reactions
2 Replies
665 Views
Wapendwa salaam. Nna wawekezaji ambao wanatafuta sehemu zenye Quartz na Marbles. yeyote mwenye eneo au mgodi naomba ani PM tufanye Biashara. Natanguliza shukhrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
>Bei 350,000 >Mpya >One pad (wireless) >cd 3 za mission for free >full accessories >Kimara,Dar >0714134399
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, Nauliza wapi naweza kupata saa za kike na kiume za bei ya jumla?
0 Reactions
4 Replies
6K Views
wakuu natafuta simu tajwa hapo juu mwenye nayo karibu tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mafuta ya kupikia ya kasuku, nipo DSM, je naweza kuyapata wapi?
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Gari inauzwa toyota Vitz: Make:1999 colour:Silver condition:Mint Milliage:133,000km Plate number:CLPXXX Price:5 Million(fixed Price) REGISTRATION:Valid Only serious buyers contact me: 0624052138
0 Reactions
12 Replies
2K Views
JE UNASUMBULIWA NA MATATIZO YA MAFUTA MWILINI, KITAMBI, AU MATATIZO YA TUMBO Karibu ETERNAL INTERNATIONAL BIOTECHNOLOGY Umuhimu wa mwanadamu upo kwenye kujua hali ya afya yake ikoje , watalaamu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanabodi Nauza Kiwanja changu kilichopo Dodoma Mjini eneo la Makulu kwa bei ya kutupa kabisa (Ukiwa njiani kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma) Kina ukubwa wa Hatua 15 kwa 30 na kipo tambarale Bei ni Tsh...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom