Nauza sim itel it 1505 (imetumika mwezi 1 tuu)ina warrant ya 2years na inakaa na charge saaana.
Bei Tsh 150,000/=
Mawasiliano piga 0783 724242/0713 724242
Napatikana Dar.
Karibu Autoguru workshop ujupatie kitanda cha 5*6 kwa bei nafuu ya sh 280000 tu. Tunapatikana Kinondoni Manyanya mkabala na msikiti wa BAKWATA mtaa wa Brazil. Tuwasiliane kwa namba...
Wakuu habari!
Nahitaji shaft zenye kipenyo (diameter) 18mm na 17mm na urefu meter angalau 2 mwenye nazo anipm au atoe namba zake nitampigia. Zikiwa stainless steel itakuwa poa sana. Picha angalia...
Broiler ni kuku wa nyama (wa kisasa)
Wana miezi 5 na uzito wa kg 1.4, bei yake ni 5,500 kwa kila kuku mmoja, wapo kuku 500, na wanapatikana Dar es salaam, Boko magengeni,
Mawasiliano 0656646495...
Gari aina ya nissan patrol inauzwa..
nissan patrol Td42..
MANUAL..
rangi nyeupe iko vizuri sana..
namba T 768 BVT
iko dar es salaam..
0712 219148
Nichek tufanye biashara
BEI 18m
maongezi yapo..
Mamy Batiki Suppliers
Ni watengenezaji na wasambazaji wa batiki nzuri isiyokakamaa wala kuchuja, kitambaa Chake ni kizuri na chenye ubora zaidi.
Inapatikana kwa ukubwa wa piece Moja na nusu kwa...
kwa wale wenye vifaa vya kwenye masherehe na uwezo wa kuendesha masherehe... kuanzia washereheshaji(MCs) hadi wapishi... karibu katika website www.kodishatz.com utangaze vifaa vyako bure...
kwa wale wenye vifaa vya kwenye masherehe na uwezo wa kuendesha masherehe... kuanzia washereheshaji(MCs) hadi wapishi... karibu katika website www.kodishatz.com utangaze vifaa vyako bure...
Wakuu,
Natafuta mtu mwenye Car wash Dar es salaam anikodishie niwe naiopatrate namlipa kwa mwezi au miezi kama tutakavyokubaliana. Napenda sana kazi ya kuosha gari ila sijapata sehemu nzuri kwa...
Kama Tangazo linavyosomeka hapo juu shamba linauzwa ekari 60, bei ni shilingi million 5.5 kwa kila ekari lipo sehemu nzuri na pia hati zote za umiliki zipo na pia linafaa kwa shughuli nyingi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.