Ule wakati wa kwenda kwenda kwenye harusi unanukia spray ya seduction, katikati ya sherehe uende chemba kidogo urudie kuspray umekwishaaaa... Pata perfume original maalum kwa matumizi ya nyakati...
Bado kuna wanafunzi wengi wanafeli mitihani ya kidato cha 4 na cha 6. Wengine walishafeli zamani wakarudia mitihani, na bado hawakupata alama, sasa hawajui cha kufanya. Kwa bahati mbaya wengi wao...
Habari,
Ninahitaji mchoraji katuni kwa ajili ya katuni show tunayoitengeneza. Hii ni kazi yetu wenyewe hatulipwi kwa hiyo nawe hautalipwa kwa sasa. Pindi tutakapo anza ingiza pesa kutokana na hiyo...
3 bedrooms( one self contained), kitchen,sitting/Dining room, Bathroom, public toilet, nje kuna parking 2-3. Nyumba ipo katika uzio mkubwa wenye ma-*gates ndani ya eneo la NSSF. Kodi 250,000 kwa...
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
MATUKIO ya vifo yanazidi kupamba moto jiji la Dar es s Salaam ambapo watu wanne wamekufa katika matukio tofauti jijini humo
MATUKIO ya vifo yanazidi kupamba moto jiji la Dar es s Salaam ambapo...
pata laptop aina ya hp probook 5320m kaliii kwa bei nafuuu
icore i5
500gb hdd
4gb ram
2.53ghz
3hours baterry life time kama uko busy sana
hdmi supported
bei 480000/=
Location dar
Nauza viatu vya kike na vya kiume kwa bei nzuri kuanzia 15,000 na kuendelea.
Napatikana Kibaha kwa walio Dar kiatu utaletewa kwa gharama ya sh.2000 mikoani utatumiwa kwa sh.5000
Napokea order...
Habari ya jioni ndugu jamaa na marafiki,
kwa yeyote anayefahamu yanapo uzwa majiko ya stove anifahamishe nipo Dar. 0714374155 au 0753199179. Au kama unalo na unaliuza tuwasiliane pia ila liwe...
Ipo ARUSHA
CC 2660
MODEL;NISSAN TD 27 ISUZU FARGO
T 631 CUX
Bei mil 14
haidaiwi,inatumiwa kwa sasa kwa matumizi ya kusafirisha wanafunzi wa english medium school
haijawahi pakwa rangi bali ina...
Wakuu natumai ni wazima wa afya njema. ..
Natafuta blender ZISIZO TUMIA UMEME (mannual blender)
Naomba kujua bei yake pamoja na uwezo wake wa kufanya kazi...ukilinganisha na blender za umeme...
Chumba na sitting room .Ni vyumba vizuri na vina fen kila chumba ,Ni sehemu salama zaidi.inapangishwa Ukonga Mombasa Transfoma .kwa sh laki moja kwa mwezi kila chumba elf 50,000 ,maji yapo .for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.