Salamu kwenu wakuu...
Kwa wale wenye kujua bei ya bati hizi za rangi (almaaruf Msauzi) mita 3 gauge 30 zinauzwa kwa bei gani kwa pisi. kampuni mbalimbali from Dragon to Alaf. Na incase nataka...
Jamani Rock City Mall iliyoko Mwanza haina mfano, iko vizuri mno. Kuna ile super market ya TSN jamani utafikiri uko sijui marekani au ufaransa huduma zao na bidhaa huwezi amini kuwa uko Tanzania...
Nauza Vitenge vya Aina tofauti tofauti(Java,Duwanas,Hiterget) kwa bei ya 30,000/= na 35,000/=
Kwa Dar ni free delivery popote ulipo
Kwa mikoani Vitenge sita kuendelea usafiri ni bure. Na kama...
Kuna kiwanja kinauzwa jirani mbezi Luis pr school, njia ya Goba unaingia Kama km 1 toka lami. 22*20m ni 12ml eneo lote limejengwa na nguzo ya umeme iko getini. Eneo limezungushwa nguzo na fencing...
UNAHITAJI KUSHINDA TENDA ZA GPSA?
Sisi Kimi Dev Consult Ltd, ni wataalam na wazoefu wa KUANDAA TENDER DOCS za kazi mbalimbali: Huduma na Usambazaji bidhaa, kwa Wateja Serikali na taasisi zake...
USISAHAU KULIPA KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
Wadau ulimwengu huu wa kusaidiana KWA SISI WATANZANIA ,nipo chuo hapa ujeruman kwa sasa kama utahitaji chochote nikununulie toka hapa nitafanya...
Habari wanajamiiform kama kuna mtu ana vifaa vya saloon ya kike na hana pa kufanyia shuhuri yake kuna sehemu ipo wazi umeme upo na ni free haulipii ulinzi upo maana ni jeshini kodi elfu 30 tu...
Jipatie t shirts kali,zenye maneno atamu ya mapenzi kwa ajili ya mahusiano yako,kwa bei ya sh 15000 kwa moja. Piga simu namba 0621097301 kuweka order yako sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.