Gari haina shida yoyote ile
Full vibal
Full ac
Haijawai kugongwa hata mara moja
Bei ni 11800000
Biashara maelewano mi ndo mmiliki
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Ni mpya kabisa nimeitumia siku mbili tu
Horsepower ni 1.5 ina ubarid wa kutosha na matumiz madogo sana ya umeme nichek
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Bei ni 550000 punguf unaongea
Hii ni video kuonesha mfumo wa uitwao school academic reports system,mfumo utatumika kwenye mashule primary na secondary katika kutengeneza repoti za kitaaluma za wanafunzi,mfumo huu umetengenezwa...
Nauza Vitual reality box v2
mahala Dar es salaam
Condition Mpya
Bei 75000
VR box ni nini. Hii ni kama miwani ambayo unatumia simu yako kukufanya ujihisi upo kwenye real word mfano kama ni movie...
Habarinii za siku ?
Vifaa safi vya ofisin vinauzwa kwa bei safi
1. Meza ndefu 140,000
2. Meza za kawaida za kisasa 2 @ 110,000
3. Viti vya ofisin 5 @ 40,000
4. Computer desktop ya kisasa...
Habari,
Taarifa njema kwa wanachama na ambao wanatarajia kujiunga,
MoonAfricanLight inatoa fursa pekee kwa watu 50 wa kwanza watakao wahi, ambao watalipa tsh 30000/ tu watasajiliwa na kuwa...
Habarini wana jf ninauza keki nipo Shinyanga kwa wanaohitaji, pia natengeneza keki kwaajili ya birthday, kipaimara, komunyio, na sherehe mbalimbali kwa bei nafuu kwa anayehitaji tuwasiliane PM.
Habari wadau. nina nyumba niliijenga picha ya ndege mwaka 2005 na nikaongezea vyumba mwaka 2014 ila nimekwama kwenye kumalizia madirisha ya aluminium.
Nyumba hii ninaipangisha na ninakaribisha...
cc1750, petrol, km58,000, silver,inadaiwa tra300,000 imepata dhoruba upande wa kulia shavu la mbele na nyuma kidogo namba DFB inataka 9.5m mazungumzo yapo. nashindwa ku upload nadhan net haiko...
Kwa wakazi wote wa Morogoro na viunga vyake.
Je una tatizo lolote katika laptop yako?
Una flash au memory card inayokusumbua?
Tatizo lako limekwishaaa…
Muone fundi aliyebobea katika...
Ipo maeneo ya Chamwino Morogoro, mita 100 kutoka lami ya Iringa road ina maji umeme bado haujavutwa ila upo wa uhakika na maji ya uhakika, bei mil 23 maelewano...
Habari za jumatatu wakuu, kuna ndogo angu kaamua kujiajiri mwenyewe.
Ameanza na mtaji wake mdogo wa laki mbili huwa anachukua viatu dar nakuvipeleka mkoani Kama Moro na Dodoma.
Sasa anahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.