Habari zeni,
Mimi ni muuzaji wa asali mbichi original kutoka Tabora na Kigoma ipo nyingi sana kwa bei ya jumla ya 220,000/- kwa lita 20. Anayehitaji anicheck kwa kupiga au kunitumia sms au...
Heri ya mwaka 2017, mwaka wa mafanikio makubwa na utimilifu wa mipango na ndoto zetu za miaka mingi.
Kwa neema ya Mungu nimepata order ya kusupply mchele 30000 metric ton kwa mwezi kwa muda wa...
Wadau wa biashara!!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji Laptop haraka sana kwa ajili ya mwanafunzi.
1. Bajeti yangu Tsh 200,000/-
2. Napatikana Kigamboni, Dar
3. Hotline: 0659...
Nahitaji Mtaalamu wa kunijengea bwawa la kufugia kambale kisasa litakalokuwa limejengwa na mabanzi na karatasi maalum la nailoni lenye uwezo wa kufugia kambale 1000. Mimi niko Moshi Vijijini -...
Natafuta Noah Old Model aidha LiteAce au TownAce (G exurb au super extra Limo), ya kuanzia mwaka 1999 na kuendelea, iwe na namba C** au D** na iwe kwenye hali nzuri.
Bajeti yangu ni 8m.
Sihitaji...
Habari yako,
Je, unatamani kumiliki gari/magari bora zaidi lakini huna fedha za kutosha.?!
Umechoka kununua magari kwa watu nawe unatamani kuagiza gari/magari bora na kwa gharama nafuu sana...
Heri ya Mwaka Mpya
Nauza Kiwanja changu kilichopo mkoani Dodoma mahali panaitwa MAKULU ukiwa njiani kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Ukubwa ni Hatua 30 kwa 20. Bei ni Milioni Mbili tu na...
Wana JF
Habari na poleni kwa mihangaiko ya kimaisha.
Kuna plot inauzwa kwa ajili ya makazi ipo Mtegu, karibu na Kibada.
Ina ukubwa wa futi 70 kwa 57.
Kipo karibu na barabara kuu ya kuelekea...
Gari haina shida yoyote ile
Full vibal
Full ac
Haijawai kugongwa hata mara moja
Bei ni 11800000
Biashara maelewano mi ndo mmiliki
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Ni mpya kabisa nimeitumia siku mbili tu
Horsepower ni 1.5 ina ubarid wa kutosha na matumiz madogo sana ya umeme nichek
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Bei ni 550000 punguf unaongea
Hii ni video kuonesha mfumo wa uitwao school academic reports system,mfumo utatumika kwenye mashule primary na secondary katika kutengeneza repoti za kitaaluma za wanafunzi,mfumo huu umetengenezwa...
Nauza Vitual reality box v2
mahala Dar es salaam
Condition Mpya
Bei 75000
VR box ni nini. Hii ni kama miwani ambayo unatumia simu yako kukufanya ujihisi upo kwenye real word mfano kama ni movie...