INAUZWA Kiwanja kinauzwa kwa makazi bora

Tayukwa

JF-Expert Member
Dec 11, 2014
2,178
4,409
Wana JF
Habari na poleni kwa mihangaiko ya kimaisha.
Kuna plot inauzwa kwa ajili ya makazi ipo Mtegu, karibu na Kibada.
Ina ukubwa wa futi 70 kwa 57.

Kipo karibu na barabara kuu ya kuelekea Kigamboni na mwendo wa dakika tano kwa miguu toka barabara hiyo kuu mpaka kilipo kiwanja husika. Bei ni milioni 8 na laki 3.
 

Attachments

  • IMG_20170112_091445.jpg
    IMG_20170112_091445.jpg
    272.7 KB · Views: 74
  • IMG_20170112_091559.jpg
    IMG_20170112_091559.jpg
    340 KB · Views: 64
  • IMG_20170112_091608.jpg
    IMG_20170112_091608.jpg
    364.2 KB · Views: 65
  • IMG_20170112_091653.jpg
    IMG_20170112_091653.jpg
    373.1 KB · Views: 70
  • IMG_20170112_091819.jpg
    IMG_20170112_091819.jpg
    352.2 KB · Views: 67
  • IMG_20170112_092011.jpg
    IMG_20170112_092011.jpg
    363.8 KB · Views: 64
  • IMG_20170112_092426.jpg
    IMG_20170112_092426.jpg
    287.8 KB · Views: 71
  • IMG_20170112_092448.jpg
    IMG_20170112_092448.jpg
    286.1 KB · Views: 63
Wana JF
Habari na poleni kwa mihangaiko ya kimaisha.
Kuna plot inauzwa kwa ajili ya makazi ipo Mtegu, karibu na Kibada.
Ina ukubwa wa MITA 70 kwa 57.

Kipo karibu na barabara kuu ya kuelekea Kigamboni na mwendo wa dakika tano kwa miguu toka barabara hiyo kuu mpaka kilipo kiwanja husika. Bei ni milioni 8 na laki 3.

Kwa wahitaji tuwasiliane kwa namba hizi 0653273420/0682580560.
NOTE: HAKUNA DALALI WALA UDALALI HAPO.
kama hakuna dalali wala udalali ungeanza kusema nauza kiwanja changu na sio kuna plot inauzwa
 
Wana JF
Habari na poleni kwa mihangaiko ya kimaisha.
Kuna plot inauzwa kwa ajili ya makazi ipo Mtegu, karibu na Kibada.
Ina ukubwa wa MITA 70 kwa 57.

Kipo karibu na barabara kuu ya kuelekea Kigamboni na mwendo wa dakika tano kwa miguu toka barabara hiyo kuu mpaka kilipo kiwanja husika. Bei ni milioni 8 na laki 3.

Kwa wahitaji tuwasiliane kwa namba hizi 0653273420/0682580560.
NOTE: HAKUNA DALALI WALA UDALALI HAPO.
habari mkuu,
mkuu vipi hiyo inapungua kidogo?
 
asante ndugu..kwa wastani ni km ngapi kutokea feri kwenye panton
Mkuu sina utaalam sana ktk vipimo vya km ila kwa msaada yaani km dakika 10-15 kwa gari kutoka feri km sijakosea wakuu
 
siku hiz viwanja hadi laki 3 wwe uuze mlion 8 za nn chezea magu
 
siku hiz viwanja hadi laki 3 wwe uuze mlion 8 za nn chezea magu
Usishangae laki3 mkuu au hiyo milioni8 unaweza pata kiwanja hata elfu ishirini ila unajiuliza wapi eneo hilo??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom