Nahitaji Mtaalamu wa kujenga bwawa la samaki

MrIsidori

Senior Member
Apr 3, 2014
191
83
Nahitaji Mtaalamu wa kunijengea bwawa la kufugia kambale kisasa litakalokuwa limejengwa na mabanzi na karatasi maalum la nailoni lenye uwezo wa kufugia kambale 1000. Mimi niko Moshi Vijijini - KIBOSHO MAUA, Vifaranga. chakula na utaalamu nitapata toka kwake, aksante
 
Unahitaji mtaalamu kutoka mkoa gani?
Maana watakuja watu kukuchaji na nauli zao walizojia,,,
 
Kama atapatikana wa hapa Moshi kama ataweza kunifundisha ufugaji wa kisasa wa kambale na kama vifaranga vya kambale atakuwa navyo itakuwa poa zaidi aniachie no yake nitamtafuta!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom