Prince Mujubu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 340
- 249
I secure technology tuna install Gps system kwa gharama nafuu zaidi
Karibuni.
+255 715 331 029
isecuretechnology@yahoo.com
Karibuni.
+255 715 331 029
isecuretechnology@yahoo.com
Mkuu Kama hujui Biashara kaajiriwe!I secure technology tuna install Gps system kwa gharama nafuu zaidi
Karibuni.
+255 715 331 029
isecuretechnology@yahoo.com
Mkuu bei ni laki laki tatu tu kwa aina yoyote ya gari.Kiasi gani mkuu? Weka bei kwa aina za gari
Ni 300,000 mkuuNami nasubiria jibu la bei
Hebu eleza vizuri kijana, hakuna gharama yoyote baada kufunga hiyo gps? Kwenye bajaji je hamuweki?Mkuu bei ni laki laki tatu tu kwa aina yoyote ya gari.
Ok unapofungiwa kifaa cha Gps kwa gharama hyo utakuwa unalipa 20000 kwa mwezi ila utachagua kulipa kwa miezi 3,6 au mwaka.Hebu eleza vizuri kijana, hakuna gharama yoyote baada kufunga hiyo gps? Kwenye bajaji je hamuweki?
kwenye bajaji tunaweka pia mkuu.Hebu eleza vizuri kijana, hakuna gharama yoyote baada kufunga hiyo gps? Kwenye bajaji je hamuweki?
Ahsante kwa ushauri wako mkuu ila kwa kosa dogo la marketing haliwezi kukatisha malengo yangu.Mkuu Kama hujui Biashara kaajiriwe!
Lazima tukubali sio watu wote tunaweza kujisimamia wengine mnafaa kusimamiwa tu!
Nadhani bei bado ni kubwa sana hasa ukizingatia kuwa kila mwezi nitatakiwa kulipia.Ok unapofungiwa kifaa cha Gps kwa gharama hyo utakuwa unalipa 20000 kwa mwezi ila utachagua kulipa kwa miezi 3,6 au mwaka.
tunaweza kufanya negotiation mkuu biashara maelewano.Nadhani bei bado ni kubwa sana hasa ukizingatia kuwa kila mwezi nitatakiwa kulipia.
Kazana kijana,Dunia nayo kuna mda haina formula!Ahsante kwa ushauri wako mkuu ila kwa kosa dogo la marketing haliwezi kukatisha malengo yangu.
We jamaa unatabia za jiran zetu wa mbavuniMkuu Kama hujui Biashara kaajiriwe!
Lazima tukubali sio watu wote tunaweza kujisimamia wengine mnafaa kusimamiwa tu!
kwa nini mkuuWe jamaa unatabia za jiran zetu wa mbavuni
kuna njia nyingi za kuilinda computer yako mkuu inategemea tu na wewe unataka kuilinda na nini.Nahitaj kampuni inaweza kuwa chip ndogo za kuweka kwa computer for security
Mkuu hii ni Gps ambayo una install na kuioperate wewe mwenye ukihitaji kuona chombo chako kiko wap au kujua rout zote ambazo kimepita kwa muda husika.bro yan ndo inafanyaje fanyaje hiyo gps embu tuelezee kidogo kuna gari zina gps tunanunua mtumba na hatulipii hiyo ina nini had tulipie window phone zote gps bure embi tufafanulie