ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,282
- 541
Heshima kwenu wajasiriamali wenzangu,
naandika uzi huu kwa matarajio kwamba kuna wajasiriamali wengi wadogo/wakati wasio na uwezo wa kumiliki frame/office kwenye maeneo ya barabarani/yanayofikika kirahisi hususani SINZA.
Nilikodi nyumba yenye vyumba vitatu kwa matarajio ya kupiga aina mbili za biashara, lakini nimeshindwa kuanzisha zote nimefanikiwa kuanzisha moja tu ambayo inafanya nibaki na vyumba viwili vya ziada visivyotumika.
Kama wewe ni mjasiriamali mwenye shida na office(hapa namaanisha sihitaji wale wenye kuuza nguo etc nahitaji watu wenye kampuni zao mbalimbali mfano insurance,mawakili,ICT etc...)
Vyumba vina makabati kabisa(built in) na fan la juu wewe utahitajika kuweka labla pazia,carpet na vikorokoro vingine upendavyo, nyumba ipo sinza barabara ya shikilango. kila mwenye chumba atanilipa 150k tu + umeme tutachangia wote, huwezi pata chumba kwa hiyo bei sinza, its only kwa kushare namna hii ndio inawezekana.
Kwa sasa mimi natumia sebule tu, na aina ya biashara nayofanya sio ya watu kuingia ingia kila mara so its always cool.
Yeyote mwenye kutaka kuungana na mimi katika kutokomeza umaskini ani PM au piga namba [HASHTAG]#0677317464[/HASHTAG] kwa mawasiliano ya haraza zaidi.
naandika uzi huu kwa matarajio kwamba kuna wajasiriamali wengi wadogo/wakati wasio na uwezo wa kumiliki frame/office kwenye maeneo ya barabarani/yanayofikika kirahisi hususani SINZA.
Nilikodi nyumba yenye vyumba vitatu kwa matarajio ya kupiga aina mbili za biashara, lakini nimeshindwa kuanzisha zote nimefanikiwa kuanzisha moja tu ambayo inafanya nibaki na vyumba viwili vya ziada visivyotumika.
Kama wewe ni mjasiriamali mwenye shida na office(hapa namaanisha sihitaji wale wenye kuuza nguo etc nahitaji watu wenye kampuni zao mbalimbali mfano insurance,mawakili,ICT etc...)
Vyumba vina makabati kabisa(built in) na fan la juu wewe utahitajika kuweka labla pazia,carpet na vikorokoro vingine upendavyo, nyumba ipo sinza barabara ya shikilango. kila mwenye chumba atanilipa 150k tu + umeme tutachangia wote, huwezi pata chumba kwa hiyo bei sinza, its only kwa kushare namna hii ndio inawezekana.
Kwa sasa mimi natumia sebule tu, na aina ya biashara nayofanya sio ya watu kuingia ingia kila mara so its always cool.
Yeyote mwenye kutaka kuungana na mimi katika kutokomeza umaskini ani PM au piga namba [HASHTAG]#0677317464[/HASHTAG] kwa mawasiliano ya haraza zaidi.