Pumba za mbao, maranda yanauzwa yapo ya kutosha

kasuku mtu

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
321
94
Tunauza pumba za mbao kwa wanaoenda kufanyia mambo yao sisi tuna mashine na tunauza mbao hivyo tunazalisha kwa wingi pumba hizi jumla na leja leja nitafute 0715426668
 
Pumba za mbao zinauzwa! kweli mjini sio kuzuri,kule kwetu wenye mashine wanawalipa watu waziondoe kwenda kutupa!
 
Pumba za mbao zinauzwa! kweli mjini sio kuzuri,kule kwetu wenye mashine wanawalipa watu waziondoe kwenda kutupa!
Yaaa kuna watu wengi sana wananunua 0umba xa mbao mjini wenye viwanda vya barafu wafugaji wa kuku wakaanga chipsi wenye viwanda vya kufua vyuma ni hitajılinalotumiwa pia kuzalisha mkaa wa kisasa
 
Pumba za mbao zinauzwa! kweli mjini sio kuzuri,kule kwetu wenye mashine wanawalipa watu waziondoe kwenda kutupa!
Yaaa kuna watu wengi sana wananunua 0umba xa mbao mjini wenye viwanda vya barafu wafugaji wa kuku wakaanga chipsi wenye viwanda vya kufua vyuma ni hitajılinalotumiwa pia kuzalisha mkaa wa kisasa
 
Yaaa kuna watu wengi sana wananunua 0umba xa mbao mjini wenye viwanda vya barafu wafugaji wa kuku wakaanga chipsi wenye viwanda vya kufua vyuma ni hitajılinalotumiwa pia kuzalisha mkaa wa kisasa
Kama ni deal kubwa waconnect watu wenye uwezo wa kukodi fuso km167 kutoka dar es salaam wanapata za bure kabisa
 
Back
Top Bottom