Legal Consultants / Wanasheria

Legal Consultants / Wanasheria

Adoo

Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
73
Reaction score
29
Kampuni inaitwa Law Domain tuko Dar es salaam tunatoa huduma za kisheria, legal consultation, kwa wale wanaohitajia tafadhali wasiliana nasi kwa namba hizi;

+255 222182212
+255685646786


au tembelea tovuti yetu
Lawdomain

email : info@lawdomain.co.tz au unaweza kujibu advert hii in Private.

Shukran
 

Attachments

  • logo.png
    logo.png
    2 KB · Views: 248
Nadhani ethical conducts za madaktari, lawyers, accountants hawaruhusiwi kujitangaza. Sijui kama huu weledi unao mkuu? Mara nyingi hujitangaza indirectly kwa kuongelea suala fulani la kisheria lkn sio hivi
 
mtoa uzi umekosea bwana seka atakuja sasa hivi...hatufanyagi hivi jitangaze inderectly mkuu..
 
mzeee advocates act hairuhusu kufanya hivyo umesomea wapi chuo..?
 
Kampuni inaitwa Law Domain tuko Dar es salaam tunatoa huduma za kisheria, legal consultation, kwa wale wanaohitajia tafadhali wasiliana nasi kwa namba hizi;

+255 222182212
+255685646786


au tembelea tovuti yetu
Lawdomain

email : info@lawdomain.co.tz au unaweza kujibu advert hii in Private.

Shukran
Ndo maana kuna haja ya kupitishwa ule mswada wa Huduma za mawakili maana taaluma ishakua na makanjanja weng kama mtoa mada
 
Back
Top Bottom