Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mark11 chassis number inauzwa 10million. Call 0758216498
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza kiwanja kinauzwa:- Eneo :- somangila kigamboni Ukubwa :- 555 square meter :- kimepimwa na kina hati Bei:- 10 million (...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tafadhali sitaki madalali. Gari haidaiwi,imelipiwa kila kitu cc 1490 Ni ya 2001 km 128000 Bei 7m Maongezi yao. Hali ya gari-Nzima,bado naitumia hadi sasa. Sababu.Nataka kununua nyingine Aliye...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ram 4gb Processor 2ghz Hdd 250gb Webcam Inakaa na chaji haina tatizo lolote Sababu ya kuuza nanunua nyingine kubwa zaidi Call 0689315582
0 Reactions
9 Replies
1K Views
nataka nianze hii.biashara hii ya dagaa nahitaji mtu anaeuza kwa debe ili me niwe nafunga kwenye vimfuko vidogo nakuuza 500,1000 nataka nijue bei ya debe pia wadau naombeni mniambie kama hii...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 6 kilichopo kata ya Kilomo wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani. Kwa atayehitaji kukatiwa ruksa, sema kuanzia heka moja na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mm ni mwanachama mpya humu jamii forum nilikuwa naulizia pump kwa ajili ya kilimo zinapatikana wapi na zinauzwa kiasi gani pump ndogo za kumwagilia at least ekali 1 mpaka 5
2 Reactions
12 Replies
2K Views
kwa Mteja aliye serious Adsense accont ipo kwa mawasiliano piga 0714 850 629, Tufanye biashara.
1 Reactions
1 Replies
524 Views
Make. Honda Model. Cr-v Body Type. Station Wagon Fuel. Petrol Engine. 2200 Price. 10m. Negotiable 0787110519
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Haya wenye habari za uhakika tusaidiane hapa, 1. Kinatafutwa chumba kidogo cha kupangisha kwa ajilk ya biashara maeneo: kwa chambo, maghorofani, nane nane, au pengine penye makutanio ya watu wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
helow jf experts do you need any programs umetafuta software yoyote ukakosa?lakini unaiona kwa rafiki yako anaitumia? nina uwezo wa kuextract any software from installed software on pc the...
0 Reactions
2 Replies
570 Views
Ndugu wanajamii forum Salam. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa upatikanaji wa viwanja Dodoma mjini anijuze. Viwanja vilivyopimwa vinapatikana sehemu gani kwa bei gani nna ipi ni sehemu nzur kujenga...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipo kwenye hali nzuri. Haina cracks Napatikana Dar es salaam Njoo PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
OFA OFA OFA Land cruiser model 1999 Full vibali Haidaiw kitu chochote Full ac Haijawai kupata ajali Mkoan pia tunakuleta kama tukielewana bei Rim sports Music system 1HZ engen cc 4100 Km 41091...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jamani tikiti zimekomaa ninauza shambani bagamoyo, kiromo. Karibu wafananya biashara mpate matiki safi toka shambani. Kwa mawasiliano zaidi piga: 0742899694
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa. Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
used Samsung Galaxy note 5 kwa bei chee: hii nilikuwa natumia mwenyewe, sasa naiuza kwa bei powa! camera ni 16MP storage ni 32GB RAM 4GB network ni 4G LTE haina tatzo wala...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu huduma ya massage ya ubongo inapatikana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani iwe kwenu wana JF, Tukiwa kama vijana wajasiriamali tumeamua kuanzisha mradi wa kuchonga na kuuza majeneza ya kisasa na kuyasambaza sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa bei nafuu...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Back
Top Bottom