Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza kiwanja kinauzwa:-
Eneo :- somangila kigamboni
Ukubwa :- 555 square meter
:- kimepimwa na kina hati
Bei:- 10 million (...
Tafadhali sitaki madalali.
Gari haidaiwi,imelipiwa kila kitu
cc 1490
Ni ya 2001
km 128000
Bei 7m
Maongezi yao.
Hali ya gari-Nzima,bado naitumia hadi sasa.
Sababu.Nataka kununua nyingine
Aliye...
nataka nianze hii.biashara hii ya dagaa nahitaji mtu anaeuza kwa debe ili me niwe nafunga kwenye vimfuko vidogo nakuuza 500,1000 nataka nijue bei ya debe
pia wadau naombeni mniambie kama hii...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 6 kilichopo kata ya Kilomo wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Kwa atayehitaji kukatiwa ruksa, sema kuanzia heka moja na...
Jamani mm ni mwanachama mpya humu jamii forum nilikuwa naulizia pump kwa ajili ya kilimo zinapatikana wapi na zinauzwa kiasi gani pump ndogo za kumwagilia at least ekali 1 mpaka 5
Haya wenye habari za uhakika tusaidiane hapa,
1. Kinatafutwa chumba kidogo cha kupangisha kwa ajilk ya biashara maeneo: kwa chambo, maghorofani, nane nane, au pengine penye makutanio ya watu wa...
helow jf experts
do you need any programs
umetafuta software yoyote ukakosa?lakini unaiona kwa rafiki yako anaitumia?
nina uwezo wa kuextract any software from installed software on pc
the...
Ndugu wanajamii forum Salam. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa upatikanaji wa viwanja Dodoma mjini anijuze. Viwanja vilivyopimwa vinapatikana sehemu gani kwa bei gani nna ipi ni sehemu nzur kujenga...
OFA OFA OFA
Land cruiser model 1999
Full vibali
Haidaiw kitu chochote
Full ac
Haijawai kupata ajali
Mkoan pia tunakuleta kama tukielewana bei
Rim sports
Music system
1HZ engen cc 4100
Km 41091...
Jamani tikiti zimekomaa ninauza shambani bagamoyo, kiromo.
Karibu wafananya biashara mpate matiki safi toka shambani.
Kwa mawasiliano zaidi piga: 0742899694
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa.
Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
used Samsung Galaxy note 5 kwa bei chee:
hii nilikuwa natumia mwenyewe, sasa naiuza kwa bei powa!
camera ni 16MP
storage ni 32GB
RAM 4GB
network ni 4G LTE
haina tatzo wala...
Amani iwe kwenu wana JF,
Tukiwa kama vijana wajasiriamali tumeamua kuanzisha mradi wa kuchonga na kuuza majeneza ya kisasa na kuyasambaza sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa bei nafuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.