Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza pikipiki aina ya Fecon 125,ikpo vizuri kabisa,haidaiwi.Bei ni 1.2m Tel: 0685408722
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaam wana JF! ****** Nimepoteza/kuibiwa laptop bag ikiwa na laptop aina ya Dell na external hard disk kwenye bus la Abood, j4 tarehe 14. March nikiwa safarini usiku, Morogoro=> Dar. Zawadi ya...
0 Reactions
4 Replies
917 Views
Naomba kujua Wapi naweza kupata Gari km Toyota hilux.au Nissan patrol.au Gari Lolita linalofanana Na. Hayo Kwa njia Ya mnada?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Simu ni mpya kbsa sijawah hata kuitumia nauza kwa bei ya kutupa 200k tu bei haipungui anayehitaji karbu PM niko dar Simu ina 4G
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wakuu, habarin za asubuhi Natafuta Passo namba C, iwe kwenye hali nzuri, imelipiwa vibali vyote nicheki 0652567568 WhatsApp
0 Reactions
10 Replies
971 Views
Habari Jf, Nauza digital balance na mineral hydrometer kwa bei nafuu, Napatikana kwa namba 0717 550291 au njoo pm.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza Laptop aina ya Dell yenye 160gb disk 2gbRam 4.2procesor ina camera mbele inatunza chaji masaa 3 ina tatizo moja kioo kina risk..bei maelewano piga simu 0715673024 napatikana dar es salaaam.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HABARI NJEMA KWAKO! Je, Wewe au Ndugu yako Amemaliza kidato cha Nne na amepata alama D"tatu za masomo yoyote? KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) kwa kushirikiana na Bodi ya manunuzi na Ugavi (PSPTB)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zanu wana jamvi, Nauza simu hiyo iPhone 6s plus colour black, 128Gb. Bei 1.6m, if interested PM. Thanks
0 Reactions
9 Replies
2K Views
500gb kama bei iko poa nimp
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Habari za leo wana JF, Ninahitaji incubators zenye uwezo wa kuchukua mayai kati ya 140-180, kwa yeyote mwenye nazo naomba aje PM ili tuwasiliane ili tufanye biashara. Asante.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mambo yetu wakuu, Naomba msaada, kwa yeyote mwenye uelewa wa namna ya kupata machine ya kukamulia mafuta ya alizeti pamoja na bei zake. je Hapa Tanzania zinapatikana? Au bora kuiagiza nje? Kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Serious buyer PM bei M 34 mazungumzo hapo IPO Arusha .
0 Reactions
5 Replies
993 Views
MacBook pro (15-nch, Mid 2010) Processor 2.53 GHz Intel Core i5 Memory 6 GB 1067 MHz DDR3 Graphics NVIDIA GeForce GT 330M 256 MB Bei ni 950,000/=
0 Reactions
17 Replies
3K Views
IPO vizuri, Ina kijicrack kidogo sana ambacho hakipo kwenye screen ila kipo chini kabisa. Napatikana kinondoni manyanya Nauza sababu ya shida binafsi 0675206637
0 Reactions
4 Replies
920 Views
TUNATOA HUDUMA YA KUPIMA UDONGO ILI KUKUJULISHA VIRUTUBISHO VILIVYOMO NA AINA YA UDONGO HUO PAMOJA NA KUKUSHAURI MAZAO GANI YANAFAA KWA ENEO HILO LA SHAMBA LAKO NINI UNATANAKIWA KUKIFANYA ILI...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Habari zenu Mimi ni mkulima wa uyoga aina ya oyster nipo arusha mjini na nimeanza kuvuna, kwa atakaehitaji or anaejua soko la uyoga naomba anijuze private message
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, baada ya kusota kwa muda mrefu bila ajira ya maana hatimaye nimefanikiwa kupata mtaji ambao nimefikiria kufungua banda la chipsi Sehem...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF Kwa yeyote anayeuza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka naomba awasiliane na mimi. Conditions ni kama zifuatazo:- (1) Iwe iliyotumika (Iwe inafanya kazi au haifanyi kazi). (2)...
0 Reactions
1 Replies
687 Views
Back
Top Bottom