Salaam wana JF!
******
Nimepoteza/kuibiwa laptop bag ikiwa na laptop aina ya Dell na external hard disk kwenye bus la Abood, j4 tarehe 14. March nikiwa safarini usiku, Morogoro=> Dar.
Zawadi ya...
Nauza Laptop aina ya Dell yenye 160gb disk 2gbRam 4.2procesor ina camera mbele inatunza chaji masaa 3 ina tatizo moja kioo kina risk..bei maelewano piga simu 0715673024 napatikana dar es salaaam.
HABARI NJEMA KWAKO!
Je, Wewe au Ndugu yako Amemaliza kidato cha Nne na amepata alama D"tatu za masomo yoyote? KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) kwa kushirikiana na Bodi ya manunuzi na Ugavi (PSPTB)...
Habari za leo wana JF,
Ninahitaji incubators zenye uwezo wa kuchukua mayai kati ya 140-180, kwa yeyote mwenye nazo naomba aje PM ili tuwasiliane ili tufanye biashara.
Asante.
Mambo yetu wakuu,
Naomba msaada, kwa yeyote mwenye uelewa wa namna ya kupata machine ya kukamulia mafuta ya alizeti pamoja na bei zake. je Hapa Tanzania zinapatikana? Au bora kuiagiza nje? Kama...
IPO vizuri,
Ina kijicrack kidogo sana ambacho hakipo kwenye screen ila kipo chini kabisa.
Napatikana kinondoni manyanya
Nauza sababu ya shida binafsi
0675206637
TUNATOA HUDUMA YA KUPIMA UDONGO ILI KUKUJULISHA VIRUTUBISHO VILIVYOMO NA AINA YA UDONGO HUO PAMOJA NA KUKUSHAURI MAZAO GANI YANAFAA KWA ENEO HILO LA SHAMBA LAKO NINI UNATANAKIWA KUKIFANYA ILI...
Habari zenu
Mimi ni mkulima wa uyoga aina ya oyster nipo arusha mjini na nimeanza kuvuna, kwa atakaehitaji or anaejua soko la uyoga naomba anijuze private message
Habari zenu wana JF
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, baada ya kusota kwa muda mrefu bila ajira ya maana hatimaye nimefanikiwa kupata mtaji ambao nimefikiria kufungua banda la chipsi
Sehem...
Habari wana JF
Kwa yeyote anayeuza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka naomba awasiliane na mimi. Conditions ni kama zifuatazo:-
(1) Iwe iliyotumika (Iwe inafanya kazi au haifanyi kazi).
(2)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.