Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Helo majasiriamali mwenzangu pole kwa majukumu Natumaini umesoma heading vizuri natumaini umewahi kuona matangazo kadha wa kadha katika mitandao ya kijamii yakitoa matangazo mbalimbali...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Make : Toyota Model : Mark x Mileage : 74,326km Engine size: 2,500cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD (FOUR WHEELS DRIVE)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF. Naamini huku nitapata msaada kwa haraka kidogo..nina ujenzi unaohitaji I-Beam na angle line zitakazotumia bolt kuunganisha na sio kuchomelea na structure ni kama mnara wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza samsung video camera ikiwa bado mpya ina miezi mitatu tu tokea niinunue, ninashida na pesa so nauza kwa bei nafuu kabsa karibu na bure, ina record HD videos na inapiga picha pia, ni portable...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Nahitaji remote ya subwoofer kwa anayefahamu wapi naweza pata au kama anayo tufanye biashara. Remote iliyokuwepo ilikuwa inaongeza sauti,bass na stereo lakini haiwezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekali 38 pamoja na miti yake aina ya mpaina yenye umri wa miaka 5 naliuza. Shamba lipo wilayani Mufindi maeneo ya Mudamulo-Mafinga. Ekali moja ni sh. 1,000,000 tu. Unaweza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salama wakuu. Naomba msaada kwa aliyepo Tanga. Natafuta kiwanja cha bei poa naeneo ya Majani Mapana. Ni eneo la kujenga nyumba ya kuishi. Msaada plz.
1 Reactions
28 Replies
4K Views
kwa mahitaji ya fundi wa AC,umeme,CCTV,dish na vifaa vyote vya umeme sisi tupo kwa ajili yako tuchek kupitia 0622001223
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Viwanja Vyote Vina Hati ,Vimepimwa Na Wizara Ya Ardhi Pia Vina Barabara KIBADA shangwe 1Sqm@ 35,000Tsh/=.(11km toka ferry) KISARAWE II 1Sqm@15,000Tsh/=.(17km Toka Darajani.) BEACH PLOT...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
1 Reactions
2 Replies
649 Views
Jipatie magauni kwa bei nafuu kabisa kwa jumla na reja reja Jumla elf 23,000 kuanzia PC 6 Reja reja elf 28000 Whatsapp 0629493754 0629493754
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu, Kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa magari ya abiria aina ya Costa. Naomba kujua gharama zake kwa jipya na yeyote anaejua linapopatikana lilianza kutumika na...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari zenu ndugu! Nahitaji eneo la kufanya kilimo na ufugaji biashara la bei nafuu popote ndani ya Dsm. 0719815018
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni mashine inayotumika kuchoma Kuku(chicken grill) Inatumia umeme pia unaweza Tumia gas..... Msingi/tumbo moja unaweza kuwapanga Kuku 6...na sehemu za kuwaweka Kuku ziko fimbo 5... Kwa hiyo kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari nna gheto langu nahitaji kulipendezesha kidogo. Na carpets na mapazia ka nimuuzaji au una hata account ya social media ya wauzaji waweza nisaidia na kusaidia wengine kupitia nyuzi hii
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta chumba cha kupanga ambacho ni master maeneo ya mbezi tangibovu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, Natafuta kompyuta ya mpakato (laptop) yenye specifications zifuatazo au zinazokaribiana na hizo; 1. HDD: 500GB+ 2. Processor: Core i5 au i7. 3. Operating System: Windows7 au 10 yenye...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Brand : Xiaomi Model: Redmi 3x Mzigo ni 420k ✓✓used - about 4 weeks now but still iko vzuri sanaa { Gold Color} ✓2Gb RAM × 32Gb ROM ✓13Megapixels rear camera ✓5 Megapixels front camera ✓4G...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
1 Reactions
0 Replies
871 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…