wakuu naitaji samsung note 4 bei yangu ni laki 4 cash simu iwe na hali mzuri na haina michubuko yoyote, ikiwa na kava na screen protecter itakuwa poa sana
mwenye nayo naomba anipm niko Dar
Mkuu invisible na wenzako.
napendekeza kama itawazekana lianzishwe jukwaa ambalo wachangiaji wake ni verified users ili tuone kama inaweza kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika uchangiaji wa...
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy S
Samsung-1897
Internal memory Gb 16
bei kitongaaaa 60000/=
Nipo dar cm ipo kwenye hali nzuri sanaaa
Mawasiliano namba 0656899091
Picha nimeshindwa kuziweka hapa
Nauza Simu Samsung Galaxy S7 GB 32 imetumika mwezi mmoja tu haina mchubuko wowote in short ni mpya kabisa bei 900,000 ukihitaji ni PM tufanye biashara na ina vitu vyake vyote.
Asante
Habari wakuu.
Nina kiwanja changu nauza kilichopo eneo la Tungoma kwa sako karibu na barabara.Eneo hili llote kuna nyumba.Pia kuna huduma za maji na umeme.Ukubwa wa kiwanja ni 20 kwa 20.Bei ni...
Hello wakuu.
Mimi ni kijana wa miaka 32, Mtanzania niliyelelewa na familia ya wafanyabiashara, baadaye nikasomeshwa mambo ya uhasibu kwa ajili ya kuandaa Kodi.
Hivi sasa natafuta mradi wowote...
TANGAZO
NJOMBE INSTITUTE OF TOURISM AND HOTEL MANAGEMENT kinawatangazia nafasi za masomo kwa walimaliza darasa la saba na kidato cha nne kwa kozi zifuatazo:
1. Basic Hotel Management
2...
Habarini Wanajamvi. Nauza Kiwanja Changu Na Hizi ndio Taarifa za Kiwanja
Eneo: Kigamboni Kibada kwa Mwarabu, Jijini Dar Es Salaam
Ukubwa: Sqmeter 1084
Hati: Kina hati Ndio
Eneo ni tambalale...
Habari wanajamii?
Tunauza vitabu vya waandishi mbali mbali wa riwaya kama Ben Mtobwa, Hussein Tuwa, Beka Mfaume na wengine wengi.
Vitabu vinapatikana posta, kinondoni, bunju na kwa wale...
Habari wana jf,sisi tunajishughulisha na masuala ya uchimbaji visima kwa ajili ya mashamba ( I mean kumwagilia ) au kwa matumizi ya nyumbani
Bei zetu ni shillingi elfu sabini kwa mita moja (...
Agri Care, Substantially provides accurate measures in preserving natural soil nutrients that has lately faced fatal degradation through direct application of chemicalized fertilizer form...
Kipo Madale Flamingo barabara inayokwenda Kwetu Sekondari, ni eneo lililopimwa kwa makazi ya watu. Hakijakatiwa hati bado, Kina ukubwa wa hatua 25x30. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme...
Viko katika hali nzuti kabati ,zimetumika kwa Miezi 6
kabati La Nguo=Tsh 230,000
kabati La Vyombo=190,000
Sofa=90000
____________________________
Toka Dar kigamboni
Call/whtsp:+255718295182
Pia...
Vyumba viwil na sebule k.ndon mtaa wa ufipa...full tiles...ceilling board...luku inajitegemea...pangaboi vyumban kote na sebulen...maj dawasco ndan...parking ipo.lak tat kwa mwez0713679865
Vyumba viwil na sebule.full tiles,ceilling board,luku inajitegemea...pangaboi vyumban kote na sebulen....maj dawasco ndan...parking ipo.lak tat kwa mwez 0713679865
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.