Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

+255 657 685 268 WhatsApp! Nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na mini stoo, Choo na...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi JF nahitaji eneo kwa ajili ya biashara ya mgahawa kwa yeyote mweny kujua eneo zuri naomb anisaidie nahitaji plzz nisaidie
0 Reactions
0 Replies
904 Views
wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo
1 Reactions
45 Replies
9K Views
Habar JF nahitaji kioo cha Samsung s4 kwa yoyote anayeuza tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Habari wana board!! Nahitaji ufafanuzi wa haraka kwa aliyewahi kuagiza bidhaa toka Made in China (e commerce platform) 1. Wengi wao njia zao za malipo ni kupitia western union au T/T, je wana...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kuuliza ivi serikali imetoa bei dira ya zao la choroko kama ndio naomba kuijua
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mzumbe Remix sasa wanapatikana jijini Mwanza. Wale walimu wabobezi wa kufundisha na Kuelekeza wanapatikana jijini Mwanza sasa, Mlete mwanao,mwambie rafiki yako na jirani yako. Tunafundisha masomo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Front camera 2pixels Rear camera 13pixels RAM gb 2 Internal 16Gb Bei 250000.imetumika na inaweek 3 sahv.
0 Reactions
3 Replies
624 Views
Nahitaji chumba cha kupanga kiwe katika hali nzuri, na salama maeneo ya ubungo. maji yawepo ndani na kiwe karibu na barabara. Kikiwa self itakuwa vizuri zaidi bajet yangu ni elfu50
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Tunauza vifaranga wa kuku bora wa kienyeji, Shamba letu lipo Kanyama Kisesa, Mwanza wapo aina mbalimbali kama Kloiler, Malawi (weusi) na chotara. Pia tunauza vifaranga vya Kanga, Bata mzinga...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Make : Nissan Model : GT-R Mileage : 29000km Engine size: 3,800cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD (FOUR WHEELS DRIVE) M/Year...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Nauza subwoofer sh 40000 opo katika hali nzuri inapatikana buguruni 0659865639
0 Reactions
9 Replies
2K Views
+255 657 685 268 WhatsApp!
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wanajamvi! Ninahitaji gari lkn ni kwa mbadilishano wa miti ya mbao ina miaka nane! Gari iwe kwenye hali nzuri tutafikia muafaka nimkatie ekari ngapi kulingana na ubora wa gari! Miti ipo...
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Nauliza wapi naweza kupata kanzu za punjab hapa bongo?
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Nipo dar, nahitaji kujua bei ya stone quoted sheets, pia naweza kupata wapi hapa Tanzania
0 Reactions
1 Replies
627 Views
Kuna mtu anatafuta kiwanja/sehemu ya kujenga fremu. Sehemu iwe kando ya barabara kubwa. Mkoa wa Dar es salaam anapendelea ukanda wa mbezi, tegeta, boko, bunju, madale, goba, ilala,kimara, mbezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wapenzi salaam, mimi ni mjasiliamali ninae jihusisha na utengenezaji wa sabuni ambazo zimekuwa maarufu kwa jina la sabuni za magadi.... ambazo kiuhalisia ni sabuni za mawese pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Naomba kuuliza, hivi nawezaje kupata blower original ya kutengenezea simu yenye gun yake, pia kwa anayejua aina mbali mbali za blower na bei zake naomba anijuze. Nipo Moshi Kilimanjaro. Asante.
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Tunapenda kuwarifu umma kuwa rangi za magari za sikkens kutoka sassenheim,akzonobel the netherlands,mzigo mpya umewasili ambao ni , rangi ndege, primer za ndege ,plasitic primer za magari yote...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom