Kuna mtu anatafuta kiwanja/sehemu ya kujenga fremu.
Sehemu iwe kando ya barabara kubwa.
Mkoa wa Dar es salaam anapendelea ukanda wa mbezi, tegeta, boko, bunju, madale, goba, ilala,kimara, mbezi...
Ndugu wapenzi salaam, mimi ni mjasiliamali ninae jihusisha na utengenezaji wa sabuni ambazo zimekuwa maarufu kwa jina la sabuni za magadi.... ambazo kiuhalisia ni sabuni za mawese pamoja na...
Naomba kuuliza, hivi nawezaje kupata blower original ya kutengenezea simu yenye gun yake, pia kwa anayejua aina mbali mbali za blower na bei zake naomba anijuze. Nipo Moshi Kilimanjaro. Asante.
Tunapenda kuwarifu umma kuwa rangi za magari za sikkens kutoka sassenheim,akzonobel the netherlands,mzigo mpya umewasili ambao ni , rangi ndege, primer za ndege ,plasitic primer za magari yote...
Poleni na pilika wanajukwaa. Nawasalimu kwa lugha zote.
Natarajia kuoa next month. Naomba kujulishwa maduka ya nguo za harusi za kiislam. Naprefer zaidi mitindo ya kihindi.
Wasaalam
Poleni na pilika za kila siku wanajukwaa, nawasalimu ktk salamu zote..
Natarajia kuoa next month. Naomba kujulishwa maduka ya nguo za harusi za kiislam hapa Dar ikiwa pamoja na bei zake. Naprefer...
Wakuu,
Natafuta mahali hapa Dsm wanapouza makoti ya suti ya kisasa ya mtumba nataka nijitupie koti kazaa nibadirishe muonekano.
Mtu anayejua maeneo hapa Dsm naweza pata mzigo huo alielekeze...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Fahamu MAKISIO na MCHANGANUO wa Kiasi cha GHARAMA Kinachohitajika KUKAMILISHA UJENZI wa Nyumba Yako Sasa kwa Bei Nafuu!
---Pata MAKISIO ya MKOPO BENKI, MCHANGANUO wa...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Fahamu MAKISIO na MCHANGANUO wa Kiasi cha GHARAMA Kinachohitajika KUKAMILISHA UJENZI wa Nyumba Yako Sasa kwa Bei Nafuu!
---Pata MAKISIO ya MKOPO BENKI, MCHANGANUO wa...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
Wanajanvi,
Habari zenu,
Baada ya mapumziko ya sikukuu ya Pasaka kwisha sasa tujikite kwenye kazi
Kichwa cha habari chahusika,
Nina eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 3500 lipo kimara mwisho njia...
Nyumba ya kisasa yenye vyumba vitatu self contained na wash room ya famila /wageni jiko, library, sitting and dinning rooms zenye nafasi. Iko ndani ya geti na nafasi ya kupaki Magari kadhaa...
Habari za siku
Natafakari kuanzisha biashara baada ya kujiassess vya kutosha nikapewa wazo la kununua jiko la gasi la Nikai.
kama unajua na kulifahamu lipoje. Je moto wa gasi la Nikai upoje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.