Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

kiwanja ~Kiwanja kinauzwa Maeneo ya Kimara Mwisho(Matosa) kina Mita 15(upana) Mita 30 (Urefu) Bei ni Shs Million 10 Umeme,Maji na mahitaji mengine yapo.... Maongezi ya Bei yapo Mawasiliano 0713...
0 Reactions
0 Replies
530 Views
Wakuu salaam, Niko katika majaribio ya kutengeneza bidhaa fulani. Nahitaji spirit (pombe kali) kama lita 20. Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kuipata naomba anisaidie kupitia PM. Natanguliza...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Heshima na iwe kwenu wana wa jf Naomba kujuzwa hapa kwetu tanzania kuna wakala wa hivi vifaa vya muziki vya kampuni ya BOSE?
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu hii laptop nimenunua last month mpya na accessories zote pamoja na bag na Warranty ya mwaka mmoja. HP Processor: Intel (R) CPU N3060 @ 1.60GHz RAM: 4 GB WINDOWS 10 bei ni fixed...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya. Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad...
0 Reactions
51 Replies
11K Views
karibuni
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Viwanja vilivyopimwa vipo pamoja maeneo ya mizani Morogoro mjini vinauzwa bei nafuu na kingine kipo lukobe. Bei maelewano atakaehitaji. Asanteni
1 Reactions
5 Replies
4K Views
IPhone 6 GB 16 Bei 850,000 Phone with usb charger IPhone 6 GB 64 Bei 880,000 Phone with usb charger Very clean condition Serious buyers 0654766056 No exchange deals
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Make : Toyota Model : Coaster (HDB51) Mileage : 81,612km Engine size: 4,200cc Gasoline : Diesel Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Manual M/Year : 1996 Doors : 2...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu duka wanalouza white boards kwa ajili ya projectors na cable zake ndefu kwa ajili ya ukunbi wa mikutano....
0 Reactions
2 Replies
954 Views
Survered Plots/viwanja vilivyopimwa Kigamboni vinauzwa, MAHALI; Kigamboni DAR ES SALAAM ZOO. Block DD kuanzia Plot No 88 hadi 498 Japo vimeshauzwa zaidi ya 100 UKUBWA: Tofauti kuanzia sqm 400...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Kiwanja kinauzwa Dodoma maeneo ya michese km 10 kutoka ddma mjini. Ukubwa ni 35* 35 Tuwasiliane 0762386584
0 Reactions
3 Replies
2K Views
#inauzwa #gariinauzwa #ecarstanzania #nahitajigari #toyota #ractis Make : Toyota Model : Ractis Mileage : 52,441km Engine size: 1,500cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zipo ekari 300 Bei ni tsh 250000 kwa kila ekar Lipo mkoani njombe mpakani na morogoro Ni eneo lenye joto na mvua za kutosha Ila pia limezungukwa na mito Kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zipo ekar 200 bei ni tsh laki moja (100000) Zinapatikana tarafa ya lupembe ktk mkoa wa njombe Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na whatsapp 0742188846 Shamba liko vizuri kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Miti inaumri wa miaka 6 Zipo ekar 8 Bei ni million 25 Lipo ktk kijiji cha iyembela mkoani njombe Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na whatsapp 0742188846
1 Reactions
0 Replies
677 Views
Nauza Gari aina ya Benz ML 320 colour ya Dark Blue mileage ni 184,345 ipo kwenye condition nzuri inatembea kwa mawasiliano zaidi nicheki PM. Bei na maongezi ya ziada tuwasiliane chemba. Bei ni...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
husika na kichwa cha habari nahitaji fridge niko Dodoma mjini pls weka bei.
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Back
Top Bottom