Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninahitaji rav 4 old model namba C au D isiwe nyekundu wala nyeupe nina 9m cash,km itapatikana mwanza au geita itakua nzuri zaidi.
0 Reactions
3 Replies
896 Views
Anayeuza kingamuzi cha startimes kinachotumika kwenye satellite dish naomba tuwasiliane
0 Reactions
2 Replies
626 Views
Hi Guys!! Naulizia availability ya car care products especially in Dar es salaam!! Kwa anayefahamu; ningependa kufahamu ni wapi hasa naweza kuzipata. Car care products ninazoulizia ni pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Wakuu habari za leo. Naomba msaada wenu. Mke wangu anapenda sana leo ale Uyoga na mimi sijui pale unapouzwa. Naomba mnielekeze tafadhali. Asanteni sana!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
RevenueBrust.com - Earn 10$ Per Referral Link Visit ! Earn 2000$ monthly from home
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Hello. Tairi used za aina ya Bridgestone Blizzak All seasons size 215/70/16 zinauzwa, ziko nne. Bado kilometer 10000 kuisha. Bei 25000@. Ni inbox.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Make : Toyota Model : Kluger Mileage : 128,970km Engine size: 2,400cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2001 Doors : 5 Seats...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : Kluger Mileage : 128,970km Engine size: 2,400cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2001 Doors : 5 Seats...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani napanda ukujukwaani kutoa hitaji langu.nina tv yangu lg 3d lakin ninauhaba wa movie za 3d sina ata moja kila nikienda wanapouza movie hiz za kubarni awana nimezunguka sana naomba kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu PC inauzwa 230,000,Tsh.ina specification zifuatazo. Ram 2Gb Processor 2Gb Hard disc 320Gb Tatizo lake ni betri tu ndo halikai na charge.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tuma picha kwenye 0682362310
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mpendwa mdau tunauza Ac aina ya Chigo bei ni kama ifutatavyo. 1.Hp 1 bei ni tsh. 800, 000 2.Hp 1.5 bei tsh. 1, 200, 000 3.Hp 2 Bei tsh. 1, 450, 000 4.Hp 2.5 bei tsh. 1, 700, 000 Kwa garama hizi...
4 Reactions
59 Replies
9K Views
[emoji91] HOT DEAL!!!!!![emoji91] [emoji336]'NEW LG G4' [emoji832]CAMERA: Back: 16MP (2160) Laser Front: 5Mp [emoji832]STORAGE: 32Gb [emoji832]RAM: 3Gb [emoji832]BATTERY: 3000...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Name: Budget Enterteinment Resort Location: Bahari Beach Service: EVENT HALL
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau, hivi sasa kuna shindano linaendelea kwa jina la Free Car Giveaway. Hili ni shindano ambalo Mshindi mmoja atazawadiwa gari moja na washindi wengine 105 watazawadiwa kuponi. Baada ya kuona...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msalato njia kuu ya kuelekea Arisha kuna kiwanja Na 132/2 Msalato Manispaa ya Dodoma cha eka 2 kpo Barabarani kabisa na hapohapo ni Nkia panda ya kuelekea utakapokuwa Uwanja wa Kimataifa wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau habari za leo, Nauza mashine yangu ya kuangulia vifaranga vya kuku, bata, bata bukene, bata mzinga, kwale na ndege wengineo wengi tu. Mashine ni Brinsea Incubator (380 Ova Easy). Hii...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Ina full vibali self starting bei 1.4M nicheck kwa namba 0713118737 picha zipo hapo chini
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kampuni ya GEMAB ENTERPRISES imekuletea fursa ww mwananchi wa kawaida kabisa kwa kukuletea huduma nyumbani kwako kwa maana inajishughulisha na yafuatayo:- 1. Inajishughulisha na ufanyaji wa usafi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom