Hapana mimi si mtu wa serikali.nimeajiriwa na private companyKama si mtumishi was serikali,unatakiwa uwe na shughuli inayokuingizia kipato- iwe imesajiliwa- iwe na leseni na TIN- Use tayari kulipia asilimia 10 ya bei ya soko ya Nyumba hiyo/ hizo-
Nyumba za wapi..garama yake ikope.naomba maelezo kamilo kaka anguUna milioni 16 hapo nikuunganishe?,
unalipa downpayement milioni 15 halafu commission yangu milioni moja,
je uko tayari umiliki nyumba yako mwenyewe,
nenda kwenye tofuti ya National housing corpNyumba za wapi..garama yake ikope.naomba maelezo kamilo kaka angu