Tunatoa huduma ya wound dressing kwa waliojifungua kwa oparesheni.(nyumbani kwako)
ama kidonda cha aina yoyote .
huduma inakufata ulipo
kwa sasa huduma hii inapatikana mwanza pekee.
kuhusu huduma...
Tunafanya service za mashine za kuangulishia vifaranga, pia Tunatengeneza mashine za kuangulishia vifaranga kwa bei nafuu kabisa na zenye ubora zaidi. Mashine hizi ni automatic ,manual . na za...
Salamu kwenu jamani , ,kuna kitu nimesikia kuwa maeneo ya ruvuma kuna mahindi yanauzwa kwa bei ndogo sana ,,,mwenye taarifa nzuri kuhusiana na bei ya mahindi huko ruvuma tujulishane basiii,,,,
Natafuta playstation 2 used iwe complite pad 2 na cable zote na iwe iliochakachuliwa yaani unaweza kuplay games na flash kwa downloaded games.
Nitafute tufanye biashara 0625906899
HDD 500 GB,4GB RAM,Windows 7 professional,64 bit operating system na ina antivirus ya mwaka mmoja( kaspersky)
imetumika miezi 2,iko katika hali nzuri sana. Ipo Mbeya,bei 450,000/
anayehitaji ani...
Habari wana jf naimani ni wazima
Naomba niende kwenye mada yangu nina kiwanja nakiuza kwa alie tayari namba zangu 0764404279/0718172475
Kiwanja kipo majengo ya Tabora karibu na shule ya msingi...
Afrimec company group tunazid kua karibu yako.ambapo chini ya kampuni hii kuna huduma zifuatazo
1.Dr Msua :Ni dakitari wa afya ya binadamu pia ana shahada ya telemedicine na family medicine...
For all your Graphics Works; Flyers/Posters, Branding, Artworks and so much more @amdesignstz we are the solution.
Contacts us on +255769278878 for business, we deliver worldwide!!!
Our social...
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%)
8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4)
Jumla kuanzia pea 10
8*8 @65000
Kwa waliopo Dar derivery ipo, gharama ya usafiri juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.