Nauza Huawei Honor 7 Lite niliyoinunua Europe October, 2016. Nimeitumia kwa miezi 6 hadi sasa na ipo ktk hali nzuri.
RAM: 2GB
Storage: 16GB,
Ni ya line mbili na yatumia nano chip.
Ina finger...
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%)
8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4)
6*6 @70000(shuka 2 na foronya 4)
Jumla kuanzia pea 10
8*8 @65000
6*6 @55000
Kwa waliopo...
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 25x25 bei ni million 22 maelewano yapo..
kipo mbezi luis njia panda ya kwenda goba kuna lami na umeme, eneo ni tambalale kinafaa kujenga nyumba bila garama ya...
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution.
Tunatengeneza laptop na desktop aina zote kwa ubora wa hali ya juu, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya...
kiwanja
~Kiwanja kinauzwa Maeneo ya Kimara Mwisho(Matosa) kina Mita 15(upana) Mita 30 (Urefu) Bei ni Shs Million 10 Umeme,Maji na mahitaji mengine yapo....
Maongezi ya Bei yapo
Mawasiliano 0713...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Fahamu MAKISIO na MCHANGANUO wa Kiasi cha GHARAMA Kinachohitajika KUKAMILISHA UJENZI wa Nyumba Yako Sasa kwa Bei Nafuu!
---Pata MAKISIO ya MKOPO BENKI, MCHANGANUO wa...
Fahamu MAKISIO na MCHANGANUO wa Kiasi cha GHARAMA Kinachohitajika KUKAMILISHA UJENZI wa Nyumba Yako Sasa kwa Bei Nafuu!
---Pata MAKISIO ya MKOPO BENKI, MCHANGANUO wa GHARAMA na VIFAA vya Muhimu...
Tunauza vifaranga wa kienyeji kwa bei poa kuanzia 2000-5000 karibuni sana pia utapata elimu kuhusu ufugaji na faida zake
tupo kijitonyama dar es salaam
call/sms/whatsap 0659767196.
Kama kichwa kinavyo jieleza nauza dagaa wa kukaangwa nawatoa mwanza hadi Dar na Moro nauza kwa kilo na kwa ndoo kilo 8000 karibuni nakuletea ulipo 0758844240
Habari wana jf,
Rafiki yangu ana Biashara na hivyo anahitajika kununua mashine ya EFD ila hana uwezo wa kununua hivyo anatafuta kama ataweza kupata kwa mtu ambaye alinunua na baadae akafunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.