Kiwanja na nyumba kinauzwa Arusha

Kiwanja na nyumba kinauzwa Arusha

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,650
Habari,

Kichwa cha habari kinajieleza.

Kiwanja kipo uswahilini mwisho wa Ice maji na umeme umefika kadhalika gari inaingia. Ukubwa 28x8 kina nyumba ya vyumba vi tano (5) viko kwenye lenta.Bei: 15ml. Mazungumzo yapo.
 
Ukubwa mkuu ni 28×8??hebu angalia vizuri hizo namba!na pia ungeweka picha ingekua vyema zaidi..
 
Iyo nyumba itakua imejengwa local, nahisi haina professional architecture drawings, which is very risky.
 
Pia itakuwa juu ya bomba kuu la maji.

Eneo oevu na tengefu,mnunuzi kuwa makini
 
Habari,

Kichwa cha habari kinajieleza.

Kiwanja kipo uswahilini mwisho wa Ice maji na umeme umefika kadhalika gari inaingia. Ukubwa 28x8 kina nyumba ya vyumba vi tano (5) viko kwenye lenta.Bei: 15ml. Mazungumzo yapo.


28x8 sio kiwanja ni Barabara au fremu za maduka, weka picha hapa, mwisho wa Ice ni wapi, Magugu au Mdori?!
 
f24130fd7b4fd1482701bce369ccf999.jpg
f94c5121e8ca5e4ba4c827ce23d4c5ea.jpg
18f772aceb7ae2a980a5869338da1d7c.jpg
 
Ambao mlikuwa mkihitaji PC hizo hapo[emoji115]
 
Habari,

Kichwa cha habari kinajieleza.

Kiwanja kipo uswahilini mwisho wa Ice maji na umeme umefika kadhalika gari inaingia. Ukubwa 28x8 kina nyumba ya vyumba vi tano (5) viko kwenye lenta.Bei: 15ml. Mazungumzo yapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom