Mambo vp wanajamii! Natafuta page ya facebook inayouzwa. kwa yeyote mwenye mchongo au tetesi za kuuzwa kwa page yenye LIKES 50 elfu na kuendelea tuwasiliane kwa mawasiliano haya.
Simu:0784531312...
Make : Toyota
Model : Altezza
Mileage : 148,200km
Engine size: 2,000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : -
M/Year : 2002...
SNL SOLAR LTD inakupa nafuu ya kupunguza Bill ya Umeme kwa kutumia Mifumo Yetu ya Umeme wa Jua.
Hakuna malipo yoyote baada ya Kufungiwa Solar.
Huduma zetu Ni Bora na tunakupatia Warranty ya...
SNL SOLAR LTD inakupa nafuu ya kupunguza Bill ya Umeme kwa kutumia Mifumo Yetu ya Umeme wa Jua.
Hakuna malipo yoyote baada ya Kufungiwa Solar.
Huduma zetu Ni Bora na tunakupatia Warranty ya...
Habari wana jamvi! Ninatafuta CHUMBA cha kupanga KWA muda wa wiki moja maeneo ya kibaha kati ya KWA mfipa na maili moja. Gharama za gesti kwangu nimeona zitakua kubwa.Aliye tayar kunisaidia...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
Kiwanja safi kisicho na mgogoro wa aina yoyote kinauzwa; kipo Kigamboni katika eneo la Amani Gomvu kina ukubwa wa mita za mraba 1040 (1040 SQM).
Kiko eneo zuri la makazi. Ni eneo ambalo tayari...
Nauza used Iphone 6s plus 64gb iliyonunuliwa Europe. Imetumika kwa takribani mwaka na nusu. Cover ya USB cable imekatika kwa juu (angalia pichani) but yafanya kazi kama kawaida. Pata simu original...
Habari wakuu.
Baada ya kufanya majaribio ya bidhaa mbalimbali, napenda kushare nanyi kitabu kinachofundisha jinsi ya kutengeneza bidhaa hizi mwenyewe bila mwalimu.
Kimekusanya bidhaa zaidi ya kumi...
Wakubwa kwa heshima na taadhima kama kichwa hapo juu kilivyo.
Mimi kitanda kiume mwaka jana nime hitimu kidato cha sita nika kosa mkopo nili pata division 2"point 12.
nilikuwa nimejitolea...
Kama heading inavyojionyesha, nipo morogoro maeneo ya mawenzi NATAFUTA wadada wapishi wazuri wanaojua kupiga vyakula vya dizaini yeyote niwaajiri, kwa wale wanaopatikana morogoro tuwasiliane...
Hello ndugu zangu nina ardhi/shamba zuri sana halina mgogoro nililinunua kwa mama mmoja aliyezaliwa pekee na wazazi wake ambao sasa ni marehemu. Ni sh. milioni 10 tu. Lipo kando ya barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.