Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi binafsi sioni sababu ya mtu kunuka jasho hata kwa dakika moja. Ni rahisi sana kunukia vizuri. Njoo nikupe bidhaa zote zitakazokuacha na harufu nzuri muda wote. Tunaanzia mdomoni, kwa kukupa...
1 Reactions
3 Replies
983 Views
Cm nzima haina tatizo lolote na ndio nnayotumia. Price fixed.... Exchange only with iPhone 6+(64GB)
0 Reactions
0 Replies
369 Views
Mwenye anauza kifaa tajwa hapo juu naomba tuwasiliane kupitia 0764339400/0625774881 ila bei iwe nzuri plz Mwanza
0 Reactions
0 Replies
285 Views
Habari za wakati huu Wakuu natumai muwazima wa afya tele Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 nimefanya kazi zakuajiriwa takribani miaka miwili nimeona issue ya kuajiriwa. Napoteza muda mwingi...
0 Reactions
4 Replies
762 Views
Jipatie line ya Tigo pesa na M-pesa zote mbili kwa sh laki nne tu. Unatumiwa popote ulipo bila matatizo.
1 Reactions
5 Replies
832 Views
Laini wakala wa M-pesa, Tigopesa, Airtelmoney na Halopesa zinauzwa,bei ni 450,000/= kwa zote nne. Kama una hitaji nitafute kupitia 0755-400005 au 0719-733338
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Original Naviforce .Call or Whatsapp 0655366488 kujipatia saa nzuri na imara. [emoji93] Haiingizi maji[emoji93] Inakuja na box lake[emoji93] Dar es Salaam unaletewa popote[emoji93] Mikoani...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
ANZA MWAKA 2015 KWA KUANZISHA KIWANDA CHAKO KIDOGO CHA PIPI, TOFFEE NA JOJO. KWA TZS 15,000 TU, UNAWEZA KUBADILI MAISHA YAKO KABISA KUTOKA KWENYE KUUZA MUDA WAKO KWA MWEZI KWA MSHAHARA MDOGO NA...
0 Reactions
16 Replies
20K Views
Habari zenu wapendwa.. Naomba kama kuna mtu anaejua bei ya Mashine za kutengenezea Icecream..
1 Reactions
6 Replies
858 Views
Wakuu nina kitalu nimesheheni miche ya miAple, nitakuuzia na kukupa somo namna ya kuipanda bei 10,000/- kila mche. Baada ya miezi 8-10 utaanza kufurahia matunda yake 0754459572 Unaruhusiwa kuja...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Available
0 Reactions
5 Replies
719 Views
Natafuta line za uwakala za Tigo pesa na M pesa bei nipeni isiwe kubbwa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nauza J7 Prime mpya kabisa Mawasiliano 0717760515 Bei 550000
0 Reactions
2 Replies
569 Views
Kama heading inavyosema. Niwekee bei, specifications na unapopatikana, mimi nipo dar.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kwa wale wanao hitaji kuandikiwa business plan,business proposal au grant proposal kwa ajili ya miradi mbalimbali wawasiliane nasi BUFATE kwa namba 0674243151 kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa...
1 Reactions
2 Replies
939 Views
Nahitaji pikipiki mpya yenye specification hapo juu. Wadau jitokezeni mchangamkie fursa
0 Reactions
5 Replies
4K Views
habar wanandugu mimi ni muhanga wa kutapeliwa pesa na ndugu Kitomari2 nilidunduliza kiasi cha laki na nusu kwenye kibubu nikiwa na nia ya kuanzisha mradi wa kuku hiyo pesa niliipata kwa shida sana...
1 Reactions
127 Replies
15K Views
Back
Top Bottom