Wakuu shamba la miti , aina ya pines, Ukubwa Eka 2 miti 900 linauzwa.
Unafuga miti unavuna kwa mkataba miaka (5) tangu mwaka huu 2017.Ardhi unairudisha kwa mmiliki asilia
Miti ilipandwa 2012...
Mtu mwenye chumba kimoja cha kupanga,kiwe na choo na bathroom ndani,security na parking.please inbox nikuunganishe na muhitaji. Preferable maeneo ni, Kijitonyama,mikocheni Victoria...
Mtu mwenye chumba kimoja cha kupanga,kiwe na choo na bathroom ndani,security na parking.please inbox nikuunganishe na muhitaji. Preferable maeneo ni, Kijitonyama,mikocheni Victoria...
Habari za jumapili wakuu!
Nipo arusha mjin natafuta Bitcoin za kununua, kiasi kidogo kwa Leo za sh 40000 malipo kwa empesa
Mwenye kuuza anitafute kwa Namba 0755710560
Engine bado iko katika hali nzuri. Haihitaji marekebisho yoyote. Ni kitendo cha kufunga kweny gar lako na kuwasha.
Location: Mkoani Simiyu,Maswa.
Kwa Mwenye uhitaji tunawezakuwasiliana
Bei yake n 2.5M
NABII LINUS TESHA NDANI YA DAR ES SALAAM KWA SIKU NNE TU
Wiki ijayo nitakuwa Dar es salaam Kwa Siku ya Alhamis na nitakutana na mtu mmoja mmoja kuanzia saa 8 mchana,siku ya ijumaa ni ibada ya...
Awali ya yote Napenda kuwapa pole na majukumu yenu ya kutwa nzima katika kujenga taifa hili la Tanzania .
Nimeleta Uzi huu hapa mahsusi kwa ajili ya kuleta changamoto katika sekta ya afya na...
Nauza- Maelewano pia yapo
1. Chapisha Picha 4*5,5*6&A4
2.Passport size
2. Chapisha DVDs cover
3. Chapisha karatasi za kawaida A3,A4
4. Jaza winno kwenye cartrage bila kununua mpya. winno wa...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na mini stoo,
Choo na...
Habari wana board!!
Nahitaji ufafanuzi wa haraka kwa aliyewahi kuagiza bidhaa toka Made in China (e commerce platform)
1. Wengi wao njia zao za malipo ni kupitia western union au T/T, je wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.