Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu shamba la miti , aina ya pines, Ukubwa Eka 2 miti 900 linauzwa. Unafuga miti unavuna kwa mkataba miaka (5) tangu mwaka huu 2017.Ardhi unairudisha kwa mmiliki asilia Miti ilipandwa 2012...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bei ni 5Ml. Ipo Dar....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini.naomben kama kuna yoyote ana taarifa ya masharti ya kukopa nyumba na wap wana vigezo vichache anijuze. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mtu mwenye chumba kimoja cha kupanga,kiwe na choo na bathroom ndani,security na parking.please inbox nikuunganishe na muhitaji. Preferable maeneo ni, Kijitonyama,mikocheni Victoria...
0 Reactions
1 Replies
653 Views
Mtu mwenye chumba kimoja cha kupanga,kiwe na choo na bathroom ndani,security na parking.please inbox nikuunganishe na muhitaji. Preferable maeneo ni, Kijitonyama,mikocheni Victoria...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Nipo dar gongo lamboto 0659223005 ft tano kwa sita halina jina sio dodoma wala comfy
3 Reactions
54 Replies
8K Views
INAUZWA 5.5MLN(FIXED) MILAGE ZINASOMA 100000 GARI IKO TEMEKE DAR.... KWA MAWASILIANO PIGA SIM 0715591141(serious buyers only) OVA
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari za jumapili wakuu! Nipo arusha mjin natafuta Bitcoin za kununua, kiasi kidogo kwa Leo za sh 40000 malipo kwa empesa Mwenye kuuza anitafute kwa Namba 0755710560
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Engine bado iko katika hali nzuri. Haihitaji marekebisho yoyote. Ni kitendo cha kufunga kweny gar lako na kuwasha. Location: Mkoani Simiyu,Maswa. Kwa Mwenye uhitaji tunawezakuwasiliana Bei yake n 2.5M
0 Reactions
34 Replies
9K Views
Nipo dar, nahitaji kujua bei ya stone quoted sheets, pia naweza kupata wapi hapa Tanzania
0 Reactions
32 Replies
3K Views
NABII LINUS TESHA NDANI YA DAR ES SALAAM KWA SIKU NNE TU Wiki ijayo nitakuwa Dar es salaam Kwa Siku ya Alhamis na nitakutana na mtu mmoja mmoja kuanzia saa 8 mchana,siku ya ijumaa ni ibada ya...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Awali ya yote Napenda kuwapa pole na majukumu yenu ya kutwa nzima katika kujenga taifa hili la Tanzania . Nimeleta Uzi huu hapa mahsusi kwa ajili ya kuleta changamoto katika sekta ya afya na...
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Nauza- Maelewano pia yapo 1. Chapisha Picha 4*5,5*6&A4 2.Passport size 2. Chapisha DVDs cover 3. Chapisha karatasi za kawaida A3,A4 4. Jaza winno kwenye cartrage bila kununua mpya. winno wa...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na mini stoo, Choo na...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi JF nahitaji eneo kwa ajili ya biashara ya mgahawa kwa yeyote mweny kujua eneo zuri naomb anisaidie nahitaji plzz nisaidie
0 Reactions
0 Replies
897 Views
wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo
1 Reactions
45 Replies
9K Views
Habar JF nahitaji kioo cha Samsung s4 kwa yoyote anayeuza tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Habari wana board!! Nahitaji ufafanuzi wa haraka kwa aliyewahi kuagiza bidhaa toka Made in China (e commerce platform) 1. Wengi wao njia zao za malipo ni kupitia western union au T/T, je wana...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kuuliza ivi serikali imetoa bei dira ya zao la choroko kama ndio naomba kuijua
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom