Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jipatie Kanzu nzur kutoka Al shareef pm me kwa maelewano
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Body ya Rosa bus inauzwa ipo kwenye hali nzuri kabisa tatizo Dereva alitembeza gari bila maji ikakaanga injini ukitaka utapewa na hiyo injini yake mbovu vingine vyote vizima tairi mpya roof safi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Lenovo G500 Ram 4gb Processor duo core 1.9 MHz Hard disc 1 TB ( 1000 GB)
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Nauza Pc aina ya HP processor : Intel(R) Celeron CPU N3060 @1.6Hz Installed memory RAM ; 4GB ( 3.85 GB USABLE) System type: 64 bit operating system inawarranty ya mwaka mzima nilinunua...
1 Reactions
3 Replies
772 Views
Wakuu Salaam, Kwa yeyote mwenye mbilimbi mbichi kuanzia ndoo 2 kwenda mpaka 500 tuwasiliane kupitia 0713177372 Hapa Biashara Tu! Picha ya Mbilimbi Mbichi
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Nauza toyota verossa Cc 2500 Kilometer 95622 Ipo Tanga Inatembea Haina tatizo lolote Haidaiwi chochote Safari ndefu ya mwisho ni March 2017 TANGA MBEYA then MBEYA LILONGWA Then LILONGWE Tanga Bei...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakuu, Kuna kifaa nimenunua lakini cha kushangaza aina ya battery kinazotumia ni tofauti kabisa na hizi battery za kawaida. Nilikuwa naomba msaada kama kuna mtu anajua upatikanaji wa hizi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mimi natumia s6edge + imetumika wiki 2 sasa na haina tatizo lolote.... Nahitaj kutumia iPhone kwa vile Samsung huwa sizikubali Sana Kama iPhone mwenye nayo na yenye sifa tajwa hapo juu tuwasiliane...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Nauza salon ya kiume ipo mawasiliano opposite na shule ya sheria inafanyakazi sababu ya kuuza ni uhamisho mwenye uhitaji tuwasiliane 0652710020
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Naomba msaada, Utaratibu juu ya kusafirisha samaki waliokaangwa na kukaushwa vizuri kwenda nchi za nje kwa ujazo wa 10kg. Nifanyeje au kuna utaratibu gani katika hili swala...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
anayeuza line za uwakala wa halotel anicheki 0718950680 0744993581
0 Reactions
1 Replies
942 Views
Heri wakuu. Naombeni ajuaye mahara pa kupata shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga nje kidogo ya Dar anijulishe.Pawe na maji ya uhakika, pasiwe mbali na balabala kuu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji mashati ya muundo huu kwa yeyote anaejua duka au sehemu wanauza
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa anayehitaji stand ya camera WT3730 kwa Tsh 50,000 No.0712 668190 mbezi kimara.
0 Reactions
0 Replies
754 Views
iwe rangi nyeusi.....gari iwe haijawahi rudiwa rangi.....gari iwe imenyooka iwe vizuri... Gari iwe namba D..kuna mteja ana mln 12 itakuwa vizuri kama utanitumia picha Mawasiliano piga sim...
0 Reactions
1 Replies
610 Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
0 Reactions
0 Replies
622 Views
Habari,nauza viatu vya watoto pre walker kwa sh elfu 15 Watsaaap 0765650028 Call 0716973403
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari,nauza viatu vya watoto pre walker kwa sh elfu 15 Watsaap 0765650028 Call 0716973403
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Simu aina ya Phantom Six Plus inauzwa shs 500,000/= tu, mjini Moshi. Simu imetumika kwa miezi 2, almost new, iko na kila kitu chake. Inakaa na charge siku nzima pasipo kuzima data. Ni simu yenye...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Nataka kiwanja popote pale. Dar kibaha pwani mlandizi kimanzi chana kongowe na kad......
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Back
Top Bottom