Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habar zenu wakuu Nauza simu tajwa hapo juu ipo vizuri sana na haina tatizo lolote Simu nikama mpya BEI 130000 Nipo DAR ES SALAAM MAWASILIANO NAMBA 0656899091
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari za weekend ndugu, Naomba kufahamu bei na aina za mashine ya kufyatulia tofali za umeme kwa wenye kujua. Natanguliza shukrani zangu za pekee.
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Aina-Von point Uwezo mkubwa wa kuhifadhi vitu kwa muDa mrefu Urefu;METRE 2 KASORO Mahala-Mwanza Simu; 0625795163
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya shamrashamra za sherehe za Muungano hapo jana, leo tena ni siku nyingine maridhawa nzuri ya kuendeleza gurudumu la kutufanya tuishi kwenye sayari ya dunia yenye kila nyenzo za kila...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ofa yangu elfu sitini,nakihitaji sana .mwenye nacho anipm.
0 Reactions
6 Replies
945 Views
Habari JF Members Nafanya Ghraphic Designs za matangazo na picha mbalimbali. Pia ninaweza kukutangazia kupitia Paid ads kwa bei nafuu kwenye mitandao ya kijamii; FACEBOOK, TWITTER, INSTAGRAM, NK...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
SY-368=2500/= SY-T18=3500/= SY-596=4500/= SY-662=5500/= DUKA LIPO MOROGORO CONTACT 0713055107(whatsapp/call/sms) 0625941537 WAMBALI UTATUMIWA KWA GARI/POSTA. KARIBUNI
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tv,dec,kingamuzi,subwoofer pamoja na meza yake 340000sh
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari wanaJf Nauza gari yangu aina yenye maelezo kama ifuatavyo:- Aina ya gari: Subaru Model: legacy Body: station wagon YoM: 2005 Cc:1990 Transmission: automanual Fuel used: petrol Oddometer...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu habari. Kama kichwa cha habar hapo juu kisemavyo. kuna furusa ya ajira kwa mtu mwenye cheti cha bima kuanzia ngazi ya certificate hadi diploma japo mwenye certificate anapewa upendeleo...
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Wakuu poleni kwa majukumu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kufanya biashara na mtu anayetengeneza vifungashio kwa ajili ya kupaki sabuni. Vifungashio hivyo ni pamoja na box za...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
gari iko vizuri.... Imetembea km 80000,vibali vyote viko full,gari haina tatizo lolote Gari inauzwa 7.8mln....njoo ujikamatie gari...gari inapatikana dsm.. KWA mawasiliano piga sim 0715591141 Ova
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayefaham zinapopatika hizo machine anisaidie na bei zake 0716041254 farajn9519@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
839 Views
habari za asubuh ndugu zangu samahani naulizia kwa anayefahamu mchakato mzima wa kuanzisha bishara ya kusambaza mboga mboga na matunda hasa kwenye hotels kubwa naombeni msaada
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kwa anae hitaji meza ya kwa ajili ya biashara iwe ya chipsi ama yoyeto ile inayo itaji meza ni ya mbao bei maelewano kwa picha zaid nichek 0679043099.....
0 Reactions
4 Replies
800 Views
Habar wadau.. Kama kuna mtu yeyote anajua bei ya pikipiki(bodaboda) SAN LG kubwa nyekundu mpya ni sh ngapi, naomba anisaidie pleasee
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wakuu kuna kiwanja kipo Mwanza Buswelu karibu kabisa na shule ya sekondari bidii ukubwa wa kiwanja ni 32*20 bei mil tatu na laki Saba Picha za eneo husika Karibuni sana kwa Maelezo zaidi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari Ndugu, Nahitaji power cable na AC adapter ya dell inspiron n4010. Please include na bei unayouza na si kuniambia tuwasiliane
0 Reactions
3 Replies
557 Views
Tasisi Native Microfinance inataka kuajili watu wa kufanya kazi ya kutoa navkusimamia mikopo katika vikundi vya wajasiliamali maeneo ya mijini na vijijini. Hivyo watu wenye uzoefu na ufahamu mzuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom